Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango watembelea...

Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango wakijaziwa maji ya magadi soda katika chupa za maji ya kunywa walipotembelea bonde la Engaruka ambako kuna hazina kubwa ya magadi soda....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya maandalizi ya mkutano wa Diaspora nchini Uingereza 2014

Hon. Peter Kallaghe with Tanzania UK Diaspora Task Force at formation meeting. Kufuatia hatua ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza kuunda kamati ya muda (Tanzania UK Diaspora Task Force)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vifusi vya ndege vyaonekana Australia?

Meneja Mkuu wa Halmasshauri ya usalama wa ndege nchini Australia, Bw. John Young. Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya nchi hiyo imenasa picha za vitu vinavyoonekana kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Karimjee watoa milioni 70 kudhamini masomo ya tiba ya kansa kwa...

Mwenyekiti wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee (KJF), Hatim Karimjee (kushoto), akikabidhi begi kama ishara ya kutoa ufadhili kwa Dk. Rehema Laiti kwa ajili ya kusoma shahada ya pili ya Udaktari bingwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wa Dodoma waja na maoni tofauti juu ya muungano

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Na Damas Makangale, MOblog aliyekuwa Dodoma Baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanri: Uwanja wa Ndege Mtwara kuboreshwa

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja huo. Na Saidi Mkabakuli Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HELSB yaanzisha utaratibu mpya wa kurejesha mikopo kwa njia ya mtandao

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samsung Electronic Tanzania has launched its Service Center at the Heart of...

Mr. Dongha Jang official opens the Kariakoo Service center. In a move aimed at enhancing the level of satisfaction and protecting its customers, leading electronic company Samsung Electronics Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule ya Sekondari Mabibo na Ubalozi wa Japan wasaini mkataba wenye thamani...

Mstahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda akizungumza wakati wa usainishwaji mkataba baina ya shule ya sekondari mabibo na ubalozi wa Japan. Shule ya Sekondary Mabibo iliyopo katika Manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Dodoma, leo kuhutubia Bunge Maalum la Katiba

Kweli Urais hauna ubia wala muda ama sehemu ya kuchapa kazi. Wakati wowote na mahali popote ni sehemu ya kazi, kama inavyoonekana hapa  ambako Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kufufua kiwanda cha matairi cha General Tyre

Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango wakitazama bidhaa zilizokuwa zikitengenezwa na kiwanda cha matairi cha General Tyre. Serikali ina mpango wa kufufua kiwanda hicho ambacho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

An Evening With the President: Rais Jakaya Kikwete, Sunday 30th March 2014 at...

The Tanzanian High Commission in conjunction with the Tanzania UK Diaspora Task Force are hosting an evening with our President Rais Dr. Jakaya Kikwete here in London, giving Tanzanians from across...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kutoa ruzuku kwa wavuvi ili kuimarisha sekta ya uvuvi nchini

Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi na baadhi ya waandishi wa habari wakipanda kwenye boti ndogo kwa ajili ya kuelekea kwenye kisiwa cha Bongoye kufanya mkutano. Frank Mvungi- Maelezo SERIKALI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afunga wiki ya Maji mkoani Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa maji wa Mkonze katika Maanispaa  ya Dodoma katika kilele cha wiki ya maji Machi 22, 2014. Kushoto kwake ni Waziri wa Maji, Profesa  Jumanne...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete kuifungua Barabara ya Mkata – Handeni na Handeni – Korogwe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kesho anatarajiwa kuifungua rasmi barabara ya Mkata – Handeni ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiwango cha lami. Barabara hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yachukua miaka 60 kujenga hospitali DRC

Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo(pichani) amefungua hospitali mjini Kinshasa miaka 60 tangu hospitali hiyo kuanza kujengwa. Waziri wa Afya, Felix Kabange Numbi, alisema hiyo ndio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani kuadhimishwa kesho tarehe 23...

Kila mwaka tarehe 23 Machi nchi wanachama wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani hujiunga na kuadhimisha kuzaliwa kwa Shirika hilo lililoanzishwa tarehe 23 Machi, 1950 kulingana na kauli mbiu. Kauli mbiu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani ahani misiba miwili Chalinze

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye msiba wa Zaidi Muharami aliyefariki kwa ajali ya kugongwa na gari katika kata ya Fukayosi. Mgombea Ubunge wa Jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe aweka jiwe la msingi Ujenzi wa Tenki la Maji Mwongolo...

Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni mstaafu Aseri Msangi (katikati) akielekea kwenye ujenzi wa mradi wa maji Mwongolo Makete mjini kwa ajili ya kuweka jiwe la msingi, kulia ni mkuu wa wilaya ya Makete Mh....

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live