Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanki mafuta lalipuka na kusababisha adha kubwa kwa wasafiri maeneo ya Shelui...

Baadhi ya wananchi wakipiga picha wakati tanki la mafuta la kampuni ya B. Clarke Haulege Construction, Tanki hilo ni mali ya Bw. Bundala Kapela wa Igunga ni namba T634 BCZ lenye vyumba vinne na uwezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uongozi wa Msitu wa Buhindi Sengerema wagawa madawati kwa shule za msingi

Afisa Elimu Msingi wilaya Sengerema Bw. Juma Mwajombe akikadhiwa madawati. Na Daniel makaka, Sengerema. WALIMU wakuu shule za msingi katika kata ya Bupandwa wilaya ya Sengerema mkoa wa  Mwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK amteua Dkt Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na...

Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt Laurent M. Shirima kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti na Ununuzi wa Umma (PPRA). Dkt. Shirima ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Andikeni Habari za kumkomboa Mwananchi : Jaji Bomani

Mshehereshaji ambaye ni Mwanakamati ya maandilizi ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2014, Usia Nkhoma Ledama akiwatambulisha baadhi ya waandishi wa habari wakongwe (hawapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Toeni kwa wakati vitabu vya makadirio ya bajeti kwa wabunge

Toeni Kwa Wakati Vitabu Vya Makadirio… by moblog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Bunge yapitisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Magufuli (katikati) na Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu Mhe. Peter Serukamba (kulia) pamoja na Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhe. Eng. Gerson Lwenge (kushoto)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara

Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo

Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli

Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samsung Galaxy S5; A Solution To Smartphone Battery Problems

The new numbers from research done by International Data Corporation (IDC) suggests that many people prefer smart phones to other ordinary ones. These numbers have notched a significant milestone...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Abuja, Nigeria, kuhudhuria Mkutano wa Uchumi Duniani...

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe jijini Abuja, Nigeria, usiku wa Mei 6, 2014 ambako atahudhuria  Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria

Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria. Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Pinda katika tete-a-tete na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa  Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, bungeni mjini Dodoma May 7, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Stanbic Bank’s Kahama customer wins Amarok

Stanbic Bank Tanzania Head of Personal and Business Banking, Paul Omara (C), pressing a laptop button during the bank’s grand draw of its campaign dubbed ‘ switch’ where Frank Msilu of Kahama,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete meets Former British PM Gordon Brown in Abuja, Nigeria, Today

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in a bilateral meeting with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Viongozi wa CCM na...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa CCM Wilaya na Mufindi wlioongazana na baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana kuanza ziara ya Siku 26 Tabora, Singida na Manyara

*NI YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM *KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI * KUKAGUA MAANDALIZI YA CHAMA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  akiwa na baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chonde chonde …..Jeshi la Polisi chukueni hatua dhidi ya mabomu haya!

WATANZANIA taratibu wameanza kuona kama ni mchezo wa kuigiza au mazoea pale kila baada ya muda fulani tukio la kulipuka kwa bomu katika kanisa au sehemu ya mkusanyiko au kwenye mkutano wa kisiasa kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Shimo hatari Barabara ya Ali Hassan Mwinyi lazibwa

LILE Shimo hatari lililokuwa kero kwa watumiaji na kuripotiwa na Global TV Online juzi Jumatatu Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge ‘Zungu’ aishukia serikali dhidi ya machinga, boda boda, mama ntilie

   -awataka wabunge wengine wasije Dar es Salaam, wakae kwenye majimbo yao Mbunge wa Ilala, Hassan Musa ‘Zungu’ Na Damas Makangale, Moblog Tanzania MBUNGE wa Ilala,  Musa Hassan maarufu kama ‘Zungu’...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live