Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya...

Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi. Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti. Hizi  ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal, awasili mjini Bukoba Mkoa wa Kagera jioni hii...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, mara baada ya kuwasili kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU YA SERIKALI: takribani Sh. Tril. 19. 7 zatarajiwa kutumika mwaka...

Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaasa wabunge wote kushiriki kikamilifu katika kamati zao kizalendo kwa kujali nchi yao ili ipatikane bajeti yenye tija kwa taifa leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo. Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mataifa EAC yazingatie ulinzi wa Afrika – Uhuru Kenyatta

Wakuu wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakizindua kitabu rasmi cha Muongozo wa Majaji wa Jumuiya hiyo kwenye Mkutano wa 12 wa siku moja wa Jumuiya hiyo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Clouds Media yapata leseni ya urushaji wa matangazo katika nchi za falme za...

Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuwa imepewa leseni ya kurusha  matangazo  katika nchi za umoja wa falme za kiarabu (UAE).  Akielezea kuhusu leseni hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumo wa kielektroniki waongeza mapato manispaa ya Kinondoni

Afisa Uhusiano wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Bw. Sebastian Mhowera akieleza kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyaji  mapato unatumiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Kilimanjaro Challenge against HIV and AIDS 2014

Dr. Fatma Mrisho, Executive Director for Tanzania Commissions for AIDS (TACAIDS), joined by AngloGold Ashanti Sustainability Vice President Mr. Simon Shayo and their colleagues during the launch of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda kuzindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu mjini Dodoma

Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Elimu yatakayofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe. Kombani awapongeza wanamichezo OR-MUU kwa ushindi mkubwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa Mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua rasmi sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mwenge wa Uhuru wakati wa Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge huo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya...

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam. Na Damas Makangale, MOblog Tanzania SERIKALI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanahabari washinda uonjaji Bia TBL

 Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi (kushoto), akiwapongeza waandishi wa habari washindi wa uonjaji bia za kampuni hiyo katika mashindano yaliyofanyika baada ya kutembelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi waomba Kituo cha Afya Simambwe kufanya kazi saa 24

Ofisa Mtendaji wa Kata ya Tembela, Elias Kalinga akifanya mahojiano na Thehabari.com hivi karibuni. Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma. Tembela, Mbeya WANANCHI wa Kata ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waandishi wa habari msikubali kutumiwa, unganeni

Baadhi ya waandishi wa habari na wadau kutoka asasi mbalimbali nchini wakifanya usajili kwenye kongamano la siku moja lilioandiliwa kuadhimisha Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani 2014 lililofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge zawakumbusha Wajumbe wa Bunge Maalum la...

  Makamu wa Rais wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akipokea kijingi cha moto kutoka kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara, tayari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasichana 30 jijini Mwanza wapatiwa mafunzo ya siku tano kuhusu elimu ya...

Mkufunzi wa Masuala ya Kijinsia Bi. Tumaini Kyola akitoa mafunzo kwa kundi la Wasichana 30 ambao hawako mashuleni juu ya mbinu mbalimbali za kuelemisha jamii kuhusu masuala Ukatili wa Majumbani na wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani.  Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Malkia na Rais mpya wa kijiji cha Maisha Plus wapatikana

Ndani ya Kijiji cha Maisha Plus/ Mama Shujaa wa chakula kila siku ya Alhamisi huwa panafanyika uchaguzi wa kumpata Rais mpya ambaye anachaguliwa na Washiriki wenyewe wa Kijiji cha Maisha Plus ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yazindua duka la kisasa Mlimani City

Afisa mtendaji Mkuu Airtel Africa Christophe Soulet akikata utepe kuzindua duka la  Airtel  lililopo mlimani city  jijini Dar es Saalam.wakishuhidia,  wapili ni Andre Beyers Afisa mkuu wa masoko...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live