Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Waziri wa Nishati na Migodi wa Algeria...

Makamu  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Nishati na Migodi wa Algeria, Youcef  Yousfi, aliyeongozana na Ujumbe wake kutoka Kampuni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Habari Dkt. Fenella Mukangara azindua Baraza Jipya la Kiswahili

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt.Fenella Mukangara akitoa hotuba kwa wajumbe wa Baraza jipya la Kiswahili na kulitaka Baraza hilo kuendelea kushirikiana na vyombo vya habari katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maaskofu wamtembelea Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi nyumbani kwake Zanzibar

Mratibu wa Dua Maalum ya kuiyombea Zanzibar kwa ajili ya mwaka mpya wa  2014  Allen Mbaga akizungumza na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi walipomtembelea na kumuombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Story: Stay Sharp

Once upon a time a very strong woodcutter asked for a job in a timber merchant, and he got it. The pay was really good and so were the work conditions. For that reason,the woodcutter was determined to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maeneo ya skuli ni maalum kwa ajili ya kuendeleza vijana kielimu – Balozi...

Jengo la Skuli mpya ya Ghorofa ya Mpendae lililofunguliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ni muendelezo wa shamra  shamra za maadhimisho ya sherehe za mapinduzi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

100 k-pound Crane Smashed The House

A 100,000-pound crane fell down on the house while removing a tree and smashed it like a dollhouse. Fortunately no one was injured. If it is your house, what will you do????

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na Waziri wa Nishati wa Algeria

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini wa Algeria,  Youcef Yousif (kuilia kwake)  na  Ujumbe wake,Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba  8,2013. Kushoto kwake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

US Chargé d’Affaires pays visit to the Ministry of Foreign Affairs

Hon. Dr. Mahadhi Juma Maalim, Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation greets Ms. Virginia Blaser, Chargé d’Affaires of the Embassy of the United States of America to the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Arusha yazidi kuimarisha vikundi vya Ulinzi Shirikishi

Mkuu wa Kitengo cha Polisi Jamii mkoa wa Arusha, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Mary Lugola akimkabidhi kizibao mmoja wa walinzi wa kikundi cha Ulinzi Shirikishi cha Muklati kilichopo Ngaramtoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof.Elisante Ole Gabriel aanza ziara ya kutembelea shughuli za maendeleo ya...

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel akimweleza Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Bi.Beatha Swai(kushoto) Mipango na mikakati mbalimbali ya wizara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kisomo cha Marehemu Zainab Buzohera DMV

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiongea kwenye kisomo cha mpendwa wetu Zainab Buzohera kulichofanyika jana Jumanne Jan 7, 2013 katika ukumbi wa mirage uliopo Langeley Park,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magonjwa ya mlipuko yanukia Dar

Picha juu na chini ni magari ya kuzolea taka ngumu ya kampuni mbalimbali yakiwa kwenye foleni ya kuingia Dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo miundo mbinu yake ni mibovu na kupelekea zoezi hilo kuchukua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Matembezi ya hiyari kwamiguu Dar mpaka Moro yakamilika

Mratibu wa matembezi ya Dar mpka Moro Bw, Matukio Chumaa akiwa kwenye muonekano wa picha. .NCHI YANGU; WAJIBU WANGU 11.01.2014 (takribani 200km)Dar es Salaam mpaka Morogoro. Ndugu zangu Watanzania,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meet The Brazilian Man Who Thinks He Is Jesus Christ

Meet 66-year-old Brazilian man Inri Cristo who believes he is the reincarnation of Jesus Christ. Inri dresses like Jesus, says his mission is to prepare the elect for the formation of the new earthly...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga yaomba radhi kwa kutoshiriki kombe la Mapinduzi

Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Clement Andrew  Sanga  akiomba radhi kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Kamati ya Mashindano ya Mapinduzi Cup kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Why do Western media get Africa wrong?

A lot of very important nuance gets lost in translation when reporting on Africa [AP]. There are fundamental differences in how Western and African media cover African events. By Nanjala Nyabola...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mandela’s death not affects S. African future political developments: experts

By Special Correspondent The death of former president Nelson Mandela “will not pose” an impact on South African future political direction and developments, analysts said on Saturday. In an interview...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Institute of Accountancy Arusha (IAA) and TPDF signed MoU to equip...

The Command and Staff College (CSC) Commandant Major General Kyunga signs a document of Memorandum of Understanding (MoU) in Arusha today to allow military personnel with the necessary skills and...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Nkasi yalalamikiwa kuvunja Ndoa yenye Mgogoro bila kugawanya mali

Maria Tarafa (wa kwanza kushoto) akiwa na watoto wake wanne aliozaa na Ndebile Kazuri akiwa amekaa kwenye kifusi cha sehemu ya nyumba anayokaa, mumewe ameibomoa nyumba hiyo ili kumfukuza eneo hilo. Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Elisante Ole Gabriel aendelea na ziara Katika Mkoa wa Pwani

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kibaha Bi.Tatu Suleiman akimweleza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel(mwenye shati Jeusi) makusudio yao ya...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live