Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Right Where You Are

Start where you are, and do what you can. Make use of what you have, in the time available to you, and there’s much you can get done. Don’t waste your time waiting for conditions to be perfect, for...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Freight Forwarders Association visit the Ministry of Foreign Affairs

Hon. Dr. Mahadhi Juma Maalim (MP) (left-seated), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation today met with the members of the Tanzania Freight Forwarders Association and the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serengeti Breweries Ltd Yawazawadia Wateja LCD TV

Meneja wa Vinywaji Vikali toka Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries (SBL), Azda Aman akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kukabidhi zawadi kwa wateja wa kinywaji hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete na Makamu Dkt. Bilal wawaongoza Wananchi kutoa Heshima za mwisho...

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe Maalum kutoka kwa Shigongo

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo. Hiki ndicho ninachokifahamu mimi ndugu yenu. Maisha ni vita, maisha ni mapambano na mtindo pekee wa kukusogeza mbele ni kupigana! Hata uwe mwema kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Pinda apokea mwili wa Dkt. Mgimwa Iringa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Jane Kakingo Mgimwa, mjane wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya mwili wa marehemu kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa  Desemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua Hospitali ya KMKM Kibweni, Zanzibar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kama ishara ya ufunguzi rasmi wa Hospitali ya KMKM Kibweni mjini Zanzibar Desemba 4, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kama ishara ya ufunguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wana-DMV wachangisha Dola 22,938 harambee ya mpendwa wao Zainab Buzohera

Mume wa marehemu Dullah na mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera wakiwa kwenye harambee ya kuchangisha fedha za kusaidia kusafirisha mwili wa mpendwa wetu marehemu Zainab Buzohera aliyefariki Jumamosi Jan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi ya kamati kuu ya Chadema kuwavua uanachama Dkt. Kitila na Mwigamba

Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt, Wilbrod Slaa. PRESS Maazimio Ya Kamati Kuu Jan 2014 by zainul_mzige21

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP mpya akutana rasmi na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi leo,...

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu (kushoto) akimfafanulia jambo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia) kuhusiana na masuala mbalimbali ya uboreshaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Mbwa 120 walivyomtafuna mjomba wa kiongozi wa Korea ya Kaskazini

.walimvua nguo na kumtupa kwenye ngome ya Mbwa wenye njaa 120 .Rais Kim Jong Un alikataa mjomba wake kunyongwa bali kuliwa na mbwa akiwa uchi wa mnyama .kiongozi huyo na viongozi wengine 300...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania DMV watowa pole kwa wafiwa

 Rafiki wa mpendwa wetu Catherine Nyongole akishindwa kujizuia  mara tu alipomuaona mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera alipofika nyumbani kwa marehemu kutoa pole na kujumuika nao katika kipindi hiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe azirai ghafla – Ripoti

Rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Mugabe. Na.MOblog kwa msaada wa mtandao. Mtu kutoka ndani ya chama tawala cha serikali ya Zimbabwe amesema kuwa kiongozi wa muda mrefu na rais wa taifa hilo la Afrika,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya habari visiwani yaombwa kuimarisha michezo wilayani

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiweka jiwe la msingi la jengo la michezo ya ndani liliopo pembezoni mwa uwanja wa michezo wa Gombani Chake Chake Kisiwani Pemba ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Dkt. William Mgimwa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal apokea Sarafu ya Kumbukumbu ya miaka 50 ya...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Meneja wa Sarafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jovent Rushaka (katikati) na Mshauri wa masuala ya Sarafu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Africa must do more to tackle the threat of unemployment – Tony Elumelu

Tony Elumelu, the entrepreneur, philanthropist and chairman of Heirs Holdings Limited (http://www.heirsholdings.com), a pan-African investment company, argues that Africa must do more to tackle the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubovu wa Barabara eneo la viwanda vya kusaga na kukamua mafuta eneo la SIDO...

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji  Maji yakiwa yamezunguka stoo za wafanya biashara eneo la viwanda sido...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

20 Out of 89 ways to Avoid Divorce!

Marriage is tough on both men and women, and living with another person for years in the same house while facing the challenges of raising children, financing your life, working and dealing with...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi bora wa masomo ya sayansi waenda Ireland

Mwakilishi  kutoka  Ubalozi wa Ireland nchini, Rita Bowen (wa pili kushoto) akikabidhi zawadi kwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ilongelo  ya Singida, Jafari Ndagula mmoja wa washindi wawili wa...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live