Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive Usiku huu Mgomo wa Madereva: Abiria walala ndani ya mabasi Ubungo,...

  Mwandishi Mwandamizi wa Modewji blog (mtandao huu), Andrew Chale  akiwa ndani ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, Jijini Dar es Salaam akiendelea ‘kusaka’ habari hasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Immense Potential of $80 Billion African Aviation Market in the Spotlight at...

First-ever Aviation Africa to bring together world’s leading airlines, ministers and authorities including IATA, Rwandair, CAA Ghana, to discuss untapped market’s significant opportunities Aviation...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo...

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, (kushoto), akisalimiana na Meneja Uendelezaji wa kampuni ya Acacia, Asa Mwaipopo, wakati alipofika kwenye kijiji cha Nyakunguru, kilicho jirani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mvua za masika Zanzibar zasababisha vifo na uharibifu wa miundo mbinu

Pichani juu na chini ni baadhi ya sehemu za Unguja zilizoathirika na mvua za masika zinazoendelea kunyesha visiwani humo.(Picha zote na Othman Maulid wa www.zanzinews.com) Na Abdulla Ali-Maelezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji...

Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. Mafuriko makubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elimu zaidi yatakiwa kubadili jamii kuthamini maalbino

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive siku ya pili mgomo wa Madereva;Mbowe wa Chadema atinga ashangiliwa

Mbunge wa Hai na Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe akiwasili kwenye ofisi za madereva Ubungo muda huu huku akishangiliwa… Na Andrew Chale, Modewji blog Mgomo ambao  ulianza jana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive siku ya pili mgomo wa madereva: Wadumu masaa 31, DC Makonda auzima...

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Poul Makonda akiongea na umati wa madereva na wapiga debe waliofurika  ndani ya kituo cha mabasi Ubungo mapema leo ambapo amewataka madereva kuacha mgomo na waendelee na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Scoop Exclusive: Matukio yaliyoajiri masaa 31 Mgomo wa madereva kituo cha...

Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi wakielekea eneo la nyuma jirani na ofisi za madereva. “Huenda hufahamu…basi tunakufahamisha sasa!!! Na Andrew...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu. Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakunga wahimizwa kushirikiana kutengeneza taifa la kesho

Rais wa chama cha wakunga nchini (TAMA), Feddy Mwanga akimkaribisha Ofisa Mtendaji mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wakunga duniani, Frances Ganges (kulia) kuzungumza na wakunga nchini waliokusanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaanzisha kurugenzi ya wauguzi na wakunga

Waziri mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wananchi kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya siku ya wakunga duniani mjini Musoma mkoani Mara. *Kutengewa bajeti yake kuanzia mwaka ujao wa fedha WAZIRI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT Wazalendo wachangia damu hospitali ya Taifa Muhimbili

Muuguzi Mwandamizi Judith Kayombo akichanganya  Damu wakati alipokuwa akimtoa Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni Mwigamba. Katibu Mkuu Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Samsoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) yasajili na kutoa vyeti 5,081...

Msajili wa Vizazi na Vifo wa Wilaya ya Kinondoni, Mariam Ling’ande (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu maendeleo ya kampeni ya usajili na utoaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Celebrate Africa with DStv this May

This month, every day is Africa Day on DStv as we celebrate our dynamic and beautiful continent with an exciting array of local talent and vibrant, informative and entertaining homegrown programming....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza...

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo...

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kuzindua timu ya wataalam wa mazungumzo katika mikataba ya gesi na mafuta kutoka serikalini na mafunzo yao maalum yaliyofanyika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya...

Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN Secretary General condemns Killing of two Tanzanian Peacekeepers in Congo

Martin Kobler, the Special Representative of the Secretary-General in the Democratic Republic of Congo (in suit) tells Tanzanian peacekeepers he strongly admires them despite the tragic loss of 2...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mipango na sera zitekelezwe kumuokoa mama na mtoto mchanga

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live