Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuini ya Ushushaji Mizigo Bandarini Tanzania International Container Terminal (TICTS) Paul Wallace akipeana mikono na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mivinjeni baaada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO waanzisha program ya utamaduni kukabili UKIMWI

Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe apigwa mwezi mmoja kutoa majibu

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa mjini Mtwara katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye  viwanja vya Mashujaa mjini humo akihitimisha ziara yake ya siku 16...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!

Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora. Mkuu wa mkoa wa Tabora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misa ya Kiswahili ya ThanksGiving yafanyika Baltimore, Maryland

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika jana Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha Mjini Kigoma

Msanii Alex Chalamila maarufu kama MCRegan akiburudisha katika tamasha la kuhamasisha matumizi ya mtandao wa simu ya mkononi ya Tigo lililofanyika kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Msanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tony Elumelu Foundation Commits $100M to African Entrepreneurs

In his recent article in the Economist, Tony Elumelu declared that, “In 2015, the African entrepreneur will explode on to the global stage, as a new generation shows the world what those of us doing...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad (pichani) kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Taarifa iliyotolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani,...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Njombe, Dkt. Rehema Nchimbi, kwa pamoja wakisimama kupokea maandamano wakati wa sherehe za Maadhimisho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule ya walemavu Buhangija Jumuishi yaelemewa na changamoto

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014

Meneja Fedha Mwandamizi  Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fastjet yaadhimisha miaka miwili ya huduma nafuu kwa wasafiri wa anga

Kampuni ya ndege ya fastjet, ambayo ni Kampuni yenye gharama nafuu kote Afrika, imeadhimisha miaka miwili ya kutoa usafiri wa anga barani Africa. Fastjet ilianza biashara ya usafiri wa anga hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jerry Silaa ahimiza upimaji wa VVU

Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa jana amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI  iliyoadhimishwa na manispaa ya Ilala kwenye kata ya Vingunguti ambapo ametumia fursa hiyo kuhamasisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo yashinda tuzo ya huduma bora ya kibunifu katika kutuma na kupokea fedha...

  Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez. Tigo Tanzania imeshinda tuzo ya “Huduma Bora ya Kibunifu” kutokana na huduma yake ya kutuma na kupokea fedha kimataifa kati ya Tigo Pesa Tanzania na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Heppy Besdei mdau Daniel Chongolo

Mdau wa Globu ya jamii,Daniel Chongolo leo anasherehekea siku yake adhimu ya kuzaliwa, Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndiye ajuae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana alipokagua maabara yenye ubora wa nyota mbili hospitali ya rufaa Mtwara

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitembelea maabara yenye ubora wa nyota 2 katika Hospitali ya Mkoa ya Rufaa ya Mtwara juzi.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG. Kinana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam. Mdhibiti na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Would You Marry Again?

A husband and wife are sitting quietly in bed reading when the wife looks over at him and asks the following question… WIFE: “What would you do if I died? would you get married again?” HUSBAND:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini avuna wanachama 167 kutoka UKAWA

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood (kulia) akimsikiliza aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama Cha wananchi CUF Wilaya ya Morogoro Ndugu Mariam Iswili aliyeamua Kurudisha Kadi...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live