Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

A Few Words About Gratitude: HAPPY THANKSGIVING

Having a happy thanksgiving is about being with family and loved ones. It is also about celebrating. But what it is most about, is gratitude. And today, I want to say HAPPY THANKSGIVING – and I’m...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali...

Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa mkoa wa Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mheshimiwa Rajabu Rutengwe kuomboleza vifo vya watu 11 ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya...

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana aunguruma Tandahimba

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa zao la korosho lina hadithi nyingi sana na njia pekee ya kuleta ukombozi kwa mkulima ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Andrew Nyerere; Mwalimu angekuwepo angepinga ufisadi!

Kuna maswala kadha wa kadha yanayoikabili Tanzania kwa hivi sasa, miongoni mwa mambo haya ni sakata la akaunti ya Tegeta/Escrow, mchakato wa katiba mpya na mengine mengi. Mwandishi Nova Kambota...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WWF watoa mabango ya kukabili ujangili nchini

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa jijini Dar es salaam, Bw. Moses Malaki (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati wa hafla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini

Na Eleuteri Mangi- Dodoma Serikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa tasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana alakiwa kwa Shangwe Mtwara vijijini, atoa heshima kwenye kumbukumbu ya...

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Kissui afungua kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi...

Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Utamaduni, Michezo, Habari na Vijana Dkt. Kissui S. Kissui akifungua rasmi kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi Karakana ya wajasiliamali uliofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio katika picha kutoka Bungeni mjini Dodoma leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania refute claims to evict 40,000 Maasai from their land in Ngorongoro

The government of United Republic of Tanzania has never had any plan to evict the Maasai people from their ancestral land The government of United Republic of Tanzania has never had any plan to evict...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Dar, apata mapokezi makubwa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la msiba wa Kepteni – Sp. Kidai Senzala Kaluse

Mrakibu wa Polisi-Captain Kidai Senzala Kaluse enzi za uhai wake. Familia ya Mzee Senzala Kaluse wa Kimara Mwisho Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao KIDAI SENZALA KALUSE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa 3 wa wakuu wa nchi za...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika mkutano wa 3  tatu wa wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) kuhusu miundombinu, uliofanyika katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF wazindua kampeni ya mfuko wa afya ya jamii vijiji vya Nzega

Mkuu wa wilaya ya Nzega Bituni Msangi akipokea msaada wa shuka kwa ajili ya wagonjwa wa Zahanati ya kijiji cha Ubinga zilizotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakati wa uzinduzi wa kampeni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK alificha siri ya kuugua saratani!

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasiasa washauriwa kampeni zenye ustaarabu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda (pichani) amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuendesha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa amani na kuepuka maneno ya uchochezi. Sambamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatima ya vigogo sakata la Escrow mikononi mwa Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. BUNGE limeazimia kuwajibishwa kwa mawaziri Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Anna Tibaijuka, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live