Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL yawa kinara ulipaji kodi Tanzania

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, akikabidhi Kombe la mshindi wa Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Alois Qande, wakati wa maadhimisho ya nane ya mlipa kodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe wa wawekezaji kutoka Ubelgiji watembelea NHC

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Diodorus Kamala aliyeongoza jopo la wadau wa sekta ya usafirishaji na wafanyabiashara waliotembelea nchini kuanzia Novemba 22- 29 akizungumza kwenye Ofisi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPHA washauri wataalamu kutumia mitandao ya kijamii

Andrew Chale ambaye pia ni mwandishi wa habari wa Tanzania Daima akichangia mada juu ya umuhimu wa matumizi ya mitandao ya kijamii ikiwemo facebook,blogs,website, whatsapp na mingineo. Wataalamu  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo  jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana akagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi Nanyumbu leo

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini...

 Ndugu pamoja na jamaa wa marehemu Sebastian Mgimba aliyefariki dunia nchini Malaysia wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Suzuki Escudo inauzwa bei nzuri…ipo kwenye hali nzuri kabisa

Upande wa Kushoto unavyoonekana.  TAARIFA KUHUSU GARI HII NI………. REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT MAKE: SUZUKI MODEL: ESCUDO MODEL NUMBER: TDIIW BODY TYPE: STATION WAGON COLOR: BLUE METALLIC Year Of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kongamano la 31 la kisayansi laendelea mjini Bagamoyo

Maximilian Mapunda kutoka shirika la Afya Duniani (WHO-Country Officer) akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo. Na Andrew Chale, Bagamoyo Pichani ni baadhi ya picha za matukio ya siku ya pili, jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

From Macro to Micro

We often look up to the stars and think of the immensity and vastness of space, but it can make us forget that there is a whole other universe on the micro level. If we look down, closer and closer, we...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

International SMEs not recognizing Africa’s growth potential – Report

-Prefer to trade with other emerging economies -SMEs expect to generate up to 50% of revenues internationally by 2019 According to an in-depth study conducted by the Economist Intelligence Unit (EIU)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la Wanawake katika sheria na maendeleo Afrika (WILDAF) laadhimisha...

Wanaharakati kutoka shirika la WiLDAF wakiwa katika maandalizi ya matembezi ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yaliayoanzia viwanja vya Mnazi mmoja na kuishia katika Ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bilionea Dangote akagua tena ujenzi wa kiwanda chake cha saruji Mtwara

 Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote akitumia gari kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu...

Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog. Na Mwandishi Wetu. WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wahimizwa kujiandikisha Daftari la Wapiga Kura

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CFAO Announces the Launch of its Club of Brands in Africa

-Five international brands to spearhead the continent’s growth CFAO (http://www.cfaogroup.com) announces the creation of its club of brands, a network of international brands wishing to support the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Tanzania 2012 Brigitte aendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa albino

Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mafunzo ya usajisiriamali kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini. Na Mwandishi wetu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amaliza ziara yake Newala, leo...

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Neawala Mh George Mkuchika mara baada ya kuwasili mjini Newala akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Mtwara ziara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya CAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa bungeni isome humu

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe Zitto Kabwe akisoma Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu akauti ya ESCROW Bungeni Mjini Dodoma jana. Spika wa Bunge la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNCDF Vacany Announcement

Required Skills and Experience Education: At least a Master’s Degree in Business Administration, Finance, Banking or related areas, plus preferably a Bachelor Degree in engineering, finance or...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda kutoka Bungeni mjini Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Novemba 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Spika wa Bunge Anne Makinda akizungumza, Bungeni Mjini Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live