Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

TPHA washauri wataalamu kutumia mitandao ya kijamii

$
0
0

DSC_1015

Andrew Chale ambaye pia ni mwandishi wa habari wa Tanzania Daima akichangia mada juu ya umuhimu wa matumizi ya mitandao ya kijamii ikiwemo facebook,blogs,website, whatsapp na mingineo.

Wataalamu  wa Afya wameshahuriwa kutumia mitandao ya kijamii katika kuwafikia watu mbalimbali katika sekta ya afya.

Hayo yamesemwa kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo.

Mada hiyo imewakilisha na TPHA.

DSC_1018

 

DSC_0987

DSC_0991

DSC_0993

DSC_0995

DSC_1010

DSC_0999

DSC_1013


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles