Akon kusambaza umeme Kibera Kenya
Rais Uhuru Kenyatta akiwa kwenye mazungumzo na msanii Akon kwenye Ikulu yake jijini Nairobi.(Picha zote kwa hisani ya ukurasa wa Facebook wa Rais Uhuru Kenyatta). Na Mwandishi wetu “LEO nilikuwa na...
View ArticleTamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya...
Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa...
View ArticleKidatu inaweza kuzalisha umeme bado
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mitambo ya kuzalisha umeme katika bwawa la Kidatu, mkoani Morogoro mwaka 2011.Kushoto ni meneja wa TANESCO wa mkoa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel...
View ArticleHappy Birthday Mjengwablog kwa kutimiza miaka minane na mzidi kusonga mbele!
Ndugu zangu, LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog. Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako. Na katika kujitahidi kuyafanya...
View ArticleSerikali za Tanzania na Malawi zasema hazina tofauti juu ya mpaka wa ziwa Nyasa.
Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mh. Patrick Tsere akizungumza na waandishi wa habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi. Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi. Baadhi ya...
View ArticleWashiriki wa Miss Tanzania 2014 watembelea hifadhi ya taifa ya Mlima...
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 wametembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni...
View ArticleTSN kumwaga zawadi za kutosha katika tamasha la kwanza la magari la...
Mmiliki wa Jossekazi Auto garage ambao ndiyo waandaaji wa tamasha akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha la kwanza la Magari la aina yake, linalojulikana kwa jina la Automobile Clinic,...
View ArticleMadereva wa masafa vinara wa VVU
Na Mwandishi wetu MAAMBUKIZI ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwenye vituo vya kulaza magari ya masafa marefu yapo juu kuliko wastani wa kitaifa, mikoa na wilaya husika. Wastani wa juu wa kitaifa ni...
View ArticleShirika la nyumba latoa mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vijana mkoani...
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani. Shirika...
View ArticlePPF yawanoa waajiri kuhusiana na huduma zake mpya ikiwemo PPF taarifa APP
Prof. Betria Mapunda ambae amemwakilisha Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar Es salaam akifungua semina iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa Waajiri kwa lengo la Kutoa elimu juu ya huduma...
View ArticleMwambungu akipongeza chuo cha Mt. Joseph
Na Mwandishi wetu MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu (pichani), amekipongeza chuo kikuu cha sayansi ya kompyuta cha Mtakatifu Joseph Tawi la Songea kwa jitihada zake za kuendelea kupanua wigo wa...
View ArticleKinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani....
View ArticlePresident Kikwete addresses the USAID Forum on “Frontiers in Development:...
President Kikwete deliveres a keynote speech at the USAID Frontiers in Development Forum: Ending Extreme Poverty at the Reagen Building in Washington DC. President Kikwete deliveres a keynote...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mpango wa utambuzi wa ujuzi uliopatikana...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kama ishala ya kuzindua rasmi mpango wa Utambuzi wa ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo, kwa...
View ArticleFUNNY ONE: The unmarried pregnant girl
A young unmarried girl discovers that she is pregnant, Scared She confides this news to her mother. Shouting, cursing, crying, the mother says, “Who was the pig that did This to you? I want to know!...
View ArticleTAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba. Na Mwandishi wetu Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya...
View ArticleWashiriki wa Miss Tanzania 2014 watoa msaada hospitali ya Kilema na Marangu...
Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro. Mwakilishi...
View ArticleKampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la...
Kampuni ya Samsung inazindua rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha...
View ArticleAsasi za kiraia zafanya matembezi huru kusisitizia tamko lao juu ya Mkutano...
Katika kuweka msisitizo juu ya tamko lao juu ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani tarehe 23/09/2014, umoja wa Asasi Nne zisizo za kiserikali...
View Article