Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa tatu wa Afrika kuhusu masuala ya...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano mkuu wa tatu wa Afrika kuhusu masuala ya usimamizi wakodi uliofanyika kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ziarani nchini Marekani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la watafiti wa ufugaji Nyuki Barani Afrika

Mtendaji Mkuu wa wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Juma Mgoo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana Jumanne (Septemba 16, 2014) kuhusu kongamano la sekta ya ufugaji nyuki Barani Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

#UNTZ: UNCDF kuendelea kusaidia kujenga uwezo wa kifedha kuhudumia maendeleo

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa, akizungumza kwenye mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walezi wa Shule ya Wasichana ya WAMA-Nakayama wapigwa msasa

Mkuu wa Kitengo cha Uragibishi na Mawasiliano kutoka Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani akiwakaribisha walimu na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya ufunguzi wa mafunzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana awasema ukweli viongozi wa CCM Mafia

 Umati wa wananchi wa Mafia wakimsikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi hao. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpigie kura Miss Kigamboni (2013) Magdalena Olotu kwenye shindano la “Next...

Aliyekuwa miss Kigamboni mwaka 2013, Miss Magdalena Olotu amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kwenye shindano la kumtafuta Super Model  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maendeleo ya TEKNOHAMA kwa sasa ikilinganishwa na hapo mwanzo

Na Benedict Liwenga, MAELEZO-DSM. TEHAMA ni moja kati ya Sekta zinazokua kwa kasi hapa nchini na duniani kote na imekuwa ikichangia kikamilifu katika maendeleo ya Taifa na pia imekuwa ikiwezesha sekta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu...

Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.  Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari watatu wajeruhiwa na mlipuko wa bomu Songea

Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi.(Picha Zote na demasho.com) ————- ASKARI watatu  wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa  wa Ruvuma  (Homso) iliyopo mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya Kinana kutoka Nyamisati mpaka Mafia kwa boti ya kizamani

Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK awasili Marekani kuhudhuria mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania in top 10 countries that’s lowered child mortality rates by more...

CLICK HERE TO DOWNLOAD THE REPORT WASHINGTON (AP) — More of the world’s children are surviving to their fifth birthday, but 6.3 million still died last year, mostly from preventable causes, the U.N....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DMK City Link Express -yapunguza bei za kwenda au kutoka Airport zote...

PIA TUNATOA HUDUMA ZA USAFIRI WA KAWAIDA NDANI YA WASHINGTON DMV MAGARI MAGODO(4 DOORS) // SUV NA MINI VAN (6-8 PASSENGERS)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dassault Aviation to Showcase Popular Falcon 7X at South African Air Show

New Falcon 5X and 8X also expected to drive future growth in Africa Dassault Aviation (http://www.dassault-aviation.com) will present its large cabin, long range Falcon 7X at the Africa Aerospace...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge EALA wajadili muswada wa vyama vya ushirika

Na Mwandishi wetu WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) walio katika kamati ya ya kilimo, Utalii na Maliasili wamekutana kujadili muswada wa sheria ya ushirika wa pamoja. Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana amsifu Mama Salma Kikwete kuanzisha shule ya WAMA Nakayama

 Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja...

Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali: Mishahara ya watumishi umma kulipwa kupitia akaunti

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba. Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live