Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Washiriki wa Miss Tanzania 2014 watoa msaada hospitali ya Kilema na Marangu Moshi

$
0
0

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.

FKB_0181

Mwakilishi wa Kanda ya Ziwa katika Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 Dorine Robert akimpa zawadi ya chandarua mgonjwa Jamila Msafiri aliyelazwa katika Hospitali ya Kilema Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro jana ambapo warembo 30 wa Miss Tanzania walitoa msaaada mbalimbali ya kijamii hospitalini hapo.

 Warembo wakiangalia watoto
 picha ya pamoja ya warembo na wenyeji Hospitali ya Kilema Moshi.
 Hapa ni Hospitali ya KKKT Marangu.
 Mpigapicha wa True Vision John Lymo akiwajibika kwa kuakama taswira za warembo.
Baada ya hapo warembo na viongozi walishirikki chakula cha mchana nyumbani kwa Naibu Kamanda wa UVCCM Moshi Vijijini, Innocent Shirima Melleck.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles