Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua kwa Mhariri: Katiba mpya mwarobaini kwa mawaziri mizigo

Rais Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Katibu Mkuu Kiongozi wakipozi na mawaziri na manaibu waziri baada ya hafla ya kula viapo hivi karibuni Ikulu jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi ateta na waandishi wa habari

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) jana jijini Dar es salaam mara baada ya kuripoti katika Ofisi yake mpya kufuatia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNICEF, EU, Save the Children na Plan International waungana na Tanzania...

Serikali ya Tanzania, Mfuko wa Maendeleo ya Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF), Ujumbe wa Umoja wa Ulaya (EU) Tanzania, Shirika kimataifa la Save the Children (SCI) na Shirika la Plan International...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais awasili Zanzibar kuzinduwa kampeni Kiembesamaki leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja, Borafya Silima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ yazidi kuwapa watanzania wengi faraja

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mmbando (kulia) akimpigia simu Bw. Edwin Edmund Kajimbo mkazi wa Iringa aliejishindia tiketi mbili ya safari iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda kuangalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanakijiji watekeleza mauaji ya kinyama kwa mhudumu wa Wanyamapori

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida,SACP,Geofrey Kamwela, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari iliyohusu mhudumu wa wanyapori kijiji cha Nduamughanga wilaya ya Singida, kuuawa kwa kukakatwa mapanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muswada wa Sheria ya Wagudunzi wa aina mpya za mbegu wajadiliwa Visiwani

Mwakilishi wa jimbo la Kitope Makame Mshimba Mbarouk akichangia Mswada wa Sheria ya kuanzisha sheria za Hakimiliki za wagunduzi wa aina Mpya za Mbegu za Mimea katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawaziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii waripoti kazini

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid akipokea ua kama isharaya kukaribishwa tena kwenye wizara hiyo, awali dkt. Seif alikuwa Naibu Waziri kwenye wizara hiyo. Waziri wa afya na Ustawi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matengenezo Daraja la Mkundi yaanza, Waziri Magufuli aelekeza kazi kufanyika...

Mitambo ikiwa kazini. Kazi za ujenzi zikiendelea. : Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa anafuatilia kazi katika moja ya mitambo ya barabara. Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makabidhiano ya Ofisi kati ya Waziri Dkt. Mwinyi na Dkt. Seif

Aliyekuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na sasa ni Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi (kushoto) akizungumza  na watendaji wa wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uganda to deport Briton charged over gay sex

Homosexuality is illegal in Uganda [File: EPA]. Bernard Randall’s lawyers say prosecutors are using expired visa as excuse to deport him after case is dropped. A Ugandan court has ordered the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

World Economic Forum calls on business leaders to strive for corruption-free...

Klaus Schwab, Founder and Executive Chairman, World Economic Forum pauses to remember Nelson Mandela during the ‘Special Adress by Didier Burkhalter, President of the Swiss Confederation and Minister...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shughuli mbalimbali za Rais Kikwete akiwa Davos, Uswisi

Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa mkutano wa kujadili namna ya kuongeza kasi  ya uboreshaji wa kilimo uliofanyika  Davos Uswisi usiku wa kuamkia leo Januari 23, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda azungumzia mafuriko yaliyotokea Morogoro

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo ofisini kwake jijijni Dar es Salaam mara baada ya kurudi kutoka Mkoa wa Morogoro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flavian Matata Foundations #Fmf::Back 2 School Project Ilivyokuwa

MRADI WA FLAVIANA MATATA FOUNDATION WA BACK TO SCHOOL PROJECT ILIOFADHILIWA NA MFUKO WA PENSHENI PSPF ILIYOMALIZIKA WIKI ILIYOPITA IVYOENDA ALIANZIA KISARAWE KATIKA SHULE YA MSINGI YA CHANZIGE B NA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pendekeza Watanzania waliong’ara kwa kuokoa mama na watoto wachanga, wapewe...

Ni kutambua mchango mkubwa, hii ni zawadi inayowafaa vinara! Tuzo ya ufanisi bora kabisa katika afya ya akinamama na watoto wachanga: Tuzo ya Mama Afrika imewadia. Watu wa kila kada, ikiwa ni pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr Omary Mjenga amkaribisha Mh. Nyalandu ofisini kwake Dubai na kumkutanisha...

Mr. Omary Mjenga akipata picha ya kumbukumbu na Mh. Lazaro Nyalandu ambaye ni Waziri mpya wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania wakati Waziri huyo alipomtembelea bwana Mjenga ofisini kwake Dubai. Mh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Davos 2014: Top 10 quotes of the day

By : Ceri Parker At the end of the first full day of the World Economic Forum’s Annual Meeting in Davos, catch up on the most inspiring and insightful quotes. I ask you to ensure that humanity is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza Wananchi wa Miono katika maziko ya aliyekuwa Mbunge wa...

 Rais Jakaya Kikwete, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Mbunge wa Chalinze, kwa tiketi ya CCM, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki dunia juzi. Maziko ya marehemu Bwanamdogo, yamefanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu amewaasa wanachi kutunza miundo mbinu ya mradi wa gasi nchini

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na mafundi wanaojenga bomba la mradi wa gasi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam wakati wa ziara ya kukagua mradi huo. Na Eleuteri Mangi-Maelezo Mtwara SERIKALI...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live