Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN peacekeepers Day 29 May 2013 at Mnazi Mmoja Heroes Ground, Dar es Salaam.

The United Nations Information Centre (UNIC) in collaboration with the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) and Tanzania Police Forces  cordially invites the media to the wreath-laying ceremony to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika wa Bunge la Libya ajiuzulu akiheshimu sheria inayowapiga marufuku watu...

Spika wa bunge la Libya Mohammed al-Megarif amejiuzulu, akiheshimu sheria inayowapiga marufuku watu walioutumikia utawala wa kanali Muamar Gadhafi. Megarif ambaye alikuwa balozi wakati wa utawala wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hand, foot and mouth disease: First vaccine.

  The first vaccine which protects children against hand, foot and mouth disease has been reported by scientists in China. The infection causes a rash and painful blisters, but in some cases results...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani yataka ushirikiano zaidi wa kivita na China.

Marekani imetoa wito wa ushirikiano zaidi wa kijeshi baina yake na China katika masuala ya kuhifadhi amani, kupigana na uharamia na kutoa misaada palipotokea majanga. Mshauri wa masuala ya usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaamua mashamba yote ya mikarafuu...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikagua shamba la Minazi la Serikali la ekari 45 lililo chini ya usimamizi wa Wizara ya Ardhi likikabidhiwa kwa Wizara ya Kilimo kwa vile lipo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge kutoka nchi 10 za Asia, Afrika na Latin Amerika wakutana Dar kutunga...

Wabunge kutoka nchi 10 za Asia, Afrika na Latin Amerika leo wanakutana nchini Tanzania kuandaa mpango utakaoshawishi utungaji wa sheria ya uingizaji, udhibiti na utumiaji wa silaha zinazohatarisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Former IT Specialist Claims To Be Jesus Reborn.

  A man claiming to be Jesus is gaining followers and causing concern among cult experts in Australia. Former IT specialist Alan John Miller, or AJ as he prefers to be known, runs a religious movement...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa...

Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi akiwasili kwenye Mnara wa Mashujaa viwanja vya Mnazi Mmoja katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Askari wa Kulinda amani wa Umoja wa Mataifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEWO Saccos wapokea mchango.

MJUMBE WA HALMASHAURI kuu ya Taifa (NEC) Ndg. Phares Magesa kulia akikabidi hundi kwa ajili ya shughuli za miradi ya maendeleo ya Temeke Women Organisation – TEWO SACCOS LTD,  anayepokea ni Meneja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Japan, kukutana na Waziri Mkuu kesho asubuhi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Narita,Japan ambapo atahudhuria Mkutano wa tano wa (TICAD)unaofanyika katika mji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Asasi, Vyama na Makundi sasa ruksa kuunda Mabaraza ya Katiba.

 Na Mwandishi Wetu Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa mwongozo unaoruhusu kuanza rasmi kwa uundwaji wa Mabaraza ya Katiba ya asasi, taasisi na makundi mbalimbali kwa lengo la kujadili na kutoa maoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Semina ya viongozi wa Utumishi wa Umma yafanyika Ubungo Plaza.

Viongozi wakuu wa Wizara ya Uchukuzi na wakuu wa idara za taasisi zake zote wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya semina ya viongozi wa utumishi wa umma kufunguliwa leo katika ukumbi wa Ubungo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

China Looks To Luxury Tax For Economic Reform.

China has been on pace to lead the world in consuming luxury goods for the past few years. With recent news of the country preparing to impose taxes on luxury products to help push forward economic...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aliyetumbukia chooni nchini China arejeshwa kwa mamake.

Waokoaji wakivunja bomba la maji taka kumuokoa kichanga huyo. Mtoto mchanga aliyeokolewa kutoka bomba la kupitishia maji taka nchini China amerejeshwa kwa mama yake baada ya maafisa wa polisi kubaini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Lowassa aipongeza kampeni ya hoteli ya Double Tree ya kutoa taa za...

 Mkurugenzi wa Kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton ya Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann akifafanua jambo kwa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh. Edward...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yajitutumua na kukanusha habari zilizoandikwa kumhusu Waziri wa...

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara. Serikali imesikitishwa na taarifa zilizochapishwa na gazeti la Mtanzania Jumapili ukurasa wa 19 toleo namba 7327 la tarehe 26 Mei mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AfDB Annual Meetings: Ask your questions LIVE to the Vice President of the...

 Finance Vice President of the African Development Bank (AfDB) Charles Boamah will host an online press conference on the last day of the Annual Meetings of the African Development Bank. Journalists...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadau wa TCAA wakutana Dar Kujadiliana.

  Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Usafiri wa Anga Fadhili Manongi (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya TCAA , Juma Mbwana Juma wakibadilishana makabrasha katika mkutano wa wazi wa siku moja wa maboresho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Redd’s Miss Uni-College Temeke 2013 kupatikana leo ndani Ukumbi wa Club...

  Warembo wa shindano la Redd’s Miss Uni-College Temeke 2013 wakiwa kwenye picha tofauti mapema jana wakati wa mazoezi yao ya mwisho ndani ya ukumbi wa Kimataifa wa Club Bilicanas, Posta Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rasimu ya Katiba kuzinduliwa Jumatatu, Juni 3 mwaka huu.

  Mwenyekiti na Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba na Katibu, Tume ya Mabadiliko ya Katiba Assaa-Rashid. Tume ya Mabadiliko ya Katiba inapenda kuwafahamisha wananchi wote kuwa...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live