Extreme road to school….!
While I believe many of these schools are at the very remote parts of their countries where the population are sparse and scattered but I also noticed that in some cases the government had not done...
View ArticleMh. Dewji amwaga misaada katika jimbo la Singida yenye thamani ya zaidi ya...
Picha juu na chini ni Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Gullam Dewji akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kituo cha mabasi cha zamani mjini Singida.(Picha...
View ArticleTigo Pesa na Fast -Jet kutoa huduma mpya ya malipo.
Meneja wa chapa ya tigo , Bw William Mpinga ( Kushoto) akiwa na Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania , Tim Lee Foster (kulia) wakati wa uzunduzi wa huduma mpya ambayo itawawezesha wateja wa Tigo kununua...
View ArticleWabunge wa DRC wampongeza JK kwa Msimamo wake wa kusaka Amani ya kudumu Congo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Na VOA Kufuatia wito wa rais Jakaya Kikwete kwa marais wa mataifa ya maziwa Makuu marais Paul Kagame, wa Rwanda, Joseph Kabila wa...
View ArticleAsilimia 87.85 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2013...
Naibu Katibu Mkuu wa baraza la Taifa la Mitihani, Dk. Charles E. Msonde. Jumla ya watahiniwa 52, 513 waliandikishwa kufanya mtihani wa kidato cha sita 2013 wakiwemo wasichana 16,934 sawa na asilimia...
View ArticleObama atumiwa barua nyingine yenye sumu hatari aina ya Ricing.
Shirika la upelelezi la Marekani FBI limesema kuwa barua yenye sumu hatari aina ya ricin imetumwa kwa rais Barack Obama kutoka Spokane katika jimbo la Washington, siku ambayo barua ya sumu kama hiyo...
View ArticleWaziri Mkuu Pinda akagua Ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni jimboni kwake Katavi.
Pichani juu na chini ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa Shule ya Msingi ya kakuni katika kijiji cha Kibaoni wilayani Mlele ambayo ujenzi wake unasimamiwa kwa karibu sana na yeye...
View ArticleChina yafikiria kuwekeza visiwani Zanzibar katika sekta ya viwanda vya mazao...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Mkuu wa Divisheni ya Ushirikiano wa Kiuchumi wa Kimataifa katika Idara ya Biashara ya Jimbo Heilongjiang Nchini China Bw. Li...
View ArticleJapan yaipiga jeki Tanzania katika sekta ya kilimo kwa mkopo wa shilingi...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah(kushoto) akifafanua umuhimu wa ujenzi wa miundombinu mipya ya kilimo cha umwagiliaji mpunga hapa nchini jana jijini Dar es salaam mara baada ya...
View ArticleTanzania yatia saini mradi wa umeme wa mabilioni ya fedha.
The Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Finance Dr. Servacius Likwelile and Sumitomo Corporation Senior Official signs a Memorandum of Understanding(MOU) for Kinyerezi 240 MW combined cycle...
View ArticleMahakama ya kimataifa ya ICC yataka mtoto wa Gadhafi kushitakiwa The Hague.
Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita – ICC wamesema kuwa mtoto wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya anastahili kushitakiwa katika mahakama hiyo na wala siyo nchini Libya. Uamuzi huo...
View ArticlePenguins Dressed Up For African Leaders’ Visit.
Penguins have been decked out in traditional African dress to welcome the visit of around 50 leaders from the continent to Japan. Five of the African or black-footed penguins waddled, hopped and were...
View ArticleMars pebbles prove water history.
Scientists now have definitive proof that many of the landscapes seen on Mars were indeed cut by flowing water. The valleys, channels and deltas viewed from orbit have long been thought to be the...
View ArticleOfisi ya CAG yasaini makubaliano ya kusaidia miradi ya Kimaendeleo.
Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali Ludovick Utouh. Na.Eleuteri Mangi- Maelezo Tanzania kupitia Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imetiliana saini mkataba wa Euro 3,500,000 na...
View ArticleMpiganaji Ernest Zulu azikwa kijijini kwao Songea.
Mwakilishi wa Spika wa Bunge ambaye pia ni Kamishna na Mbunge wa Mafia Mhe. Abdul Karim Shah akitoa salamu za rambirambi wakati wa mazishi ya Afisa Habari Mkuu wa Bunge marehemu Ernest Zulu...
View ArticleKuna uwezekano wa kuwa na kizazi kisicho na Ukimwi barani Afrika.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete akihudhuria kongamano kuhusu kuzuia maambukizi ya HIV/AIDS lililoandaliwa na serikali ya Japan kwa kushirikiana na...
View ArticleWatch Oprah’s Inspirational Commencement Speech to Harvard University’s Class...
Oprah Winfrey may have many scratching their heads as they wonder how in the hell OWN ended up being a pre-game outlet for Tyler Perry’s ultimate cable station, but one thing is for certain: That...
View ArticleKampuni ya Reli Tanzania (TRL) yazindua wiki ya Mazingira kwa ngazi ya TRL.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania-(TRL) Kipallo Kisamfu akimkaribisha Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni hiyo jana jijini Dar es salaam kwa ajili ya uzindizi wa wiki ya mazingira kwa ngazi...
View ArticleThought Provoker: 18 Ways to Make Your Parents Feel Great.
The parents nowadays are quite worried about the behavioral changes in their children due to several socio-economical reasons. The gap between parents and the younger generations, is increasing day...
View Article