Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawa ya Kitaalam ya kufukuza Panya kwa Kutumia haja ndogo yatafitiwa.

Na Hassan Silayo- MAELEZO Kituo cha utunzaji wadudu (Pest Management Centre) kinafanya utafiti wa kutumia harufu ya haja ndogo ya paka kufukuza panya waharibifu. Hayo yamesemwa jana na Mtafiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe wa TPA watembelea Rwanda.

  Ujumbe wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) uko nchini Rwanda kubadilishana ujuzi na uzoefu na Rwanda kuhusu utekelezaji wa mradi wa kurahisisha na kuwezesha biashara (Trade Facilitation) kwa kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanamuziki mahiri wanaowika barani Afrika kufanya bonge la shoo kwenye...

Siku ya Jumapili ya tarehe 26 mwezi huu, uzinduzi wa shindano la Big Brother Africa utaonyeshwa moja kwa moja katika luninga ambapo utapambwa na burudani kabambe itakayoporomoshwa na wanamuziki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif Ali Iddi asema Serikali Kuu imesikitishwa na vitendo viovu...

 Sheha wa Shehia ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi Bw. Mohd Omar Said (Maarufu Kidevu) akielezea mkasa uliompata wa kumwagiwa Tindi kali (Acid) mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa riwaya Chinua Achebe azikwa kwa heshima zote nchini Nigeria.

Mamia ya watu akiwemo Rais Googluck Jonathan wa Nigeria wamehudhuria mazishi ya mwandishi maarufu wa riwaya Chinua Achebe  yaliyofanyika katika mji wa Ogidi kaskazini mwa Nigeria. Viongozi wa serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif Idd aipongeza China kwa kuipatia Zanzibar madaktari bingwa wa...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na Madaktari Mabingwa wa China wanaotoa huduma za afya katika Hospitali mbali mbali za Zanzibar mara baada ya kula nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jk Awasili Addis Ababa kuhudhuria Sherehe za Miaka 50 za Umoja wa Nchi za...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ni miongomi mwa marais wa bara la Afrika watakaohudhuria Sherehe za kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Umoja  wa  nchi za Afrika (AU) zinazo fanyika rasmi leo Jumamosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar yaiomba Norway kuangalia uwezekano wa kuisadia kitaaluma katika...

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bibi Inguun Klepsvik Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar na kuiomba Norway kuangalia uwezekano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi mdogo wa jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba CCM kufanyika Juni 16.

  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi (pichani) kesho anatarajiwa kuzindua rasmi Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chambani Mkoa wa Kusini Pemba kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe TPA watembelea ubalozi wa Tanzania, Kigali.

Pichani katikati mwenye Kaunda suti ni Col. Mrangila, kwa sasa ndio Mkuu wa Ubalozi, aliyeshikilia koti ni Magesa, Mkuu wa msafara wa TPA, wa kwanza kushoto ni Mwasswe Mwambata Msaidizi wa Kijeshi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Stella Mwangi a.k.a STL ni mmoja kati wa wasanii watakaotumbuiza kwenye...

Mmoja wa wasanii watakaotumbuiza jioni hii kwenye uzinduzi wa show ya Big Brother-The Chase Stella Mwangi a.k.a STL kutoka Kenya akifanya mahojiano na  Tsholofelo Mothibi wa Vuzu Tv ya nchini Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa wake wa marais wa Afrika watakiwa kutotegemea wafadhili kujiendesha.

Aliyekuwa Mke wa Rais wa Namibia Mama Penehupifo Pohamba. Na Anna Nkinda – Addis Ababa Umoja wa wake wa Marais wa Afrika wa Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi (OAFLA) umetakiwa kutotegemea fedha za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barclays yatangaza wadhamini wa Matembezi ya Hisani ya ‘Step Ahead’.

Meneja wa Mawasiliano na Huduma za Jamii wa Benki ya Barclays, Tunu Kavishe (kushoto) akizungumza na waandishi wakati wa kutangaza wadhamini wa Matembezi ya Hisani ya ‘Step Ahead’ ambayo yamelenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Warsha ya Utengenezaji Filamu- maombi yafunguliwa.

  ZIFF sasa inapokea maombi kutoka kwa watengenezaji filamu Afrika Mashariki wanaotaka kushiriki katika warsha ya utengenezaji filamu wakati wa ZIFF mwaka huu.. Wanafunzi 5 (mmoja toka kila nchi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kongamano la Maafisa Ununuzi na Ugavi Serikalini lafanyika Mjini Morogoro.

Naibu Waziri wa Fedha Bi. Janeth Mbene ambaye ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa kongamano hilo akiwahutubia wagavi hawapo pichani. Kutoka kushoto ni Kamishna Msaidizi Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Just a different Perception.

  The night was a gorgeous landscape of unbelievable magic. The perfect conditions to enjoy a walk. A full Moon was part of that night’s prize. The light from the Moon was shining over the waters of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive From Mo Blog: Fahamu kuhusu makazi ya Askofu Desmond Tutu na Afrika...

 Operation Manager wa Mo Blog Zainul Mzige akiwa nje nyumba ya ambayo ndiyo makazi ya Askofu Mkuu Desmond Tutu iliyopo Soweto nchini Afrika Kusini ambapo waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMZ kumgharamia mwanachuo yeyote wa taaluma ya udaktari atakayeamua kusomea...

 Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Dkt. Salhia Muhsin Ali akitoa maelezo mbele ya Kikao cha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Wanafunzi wanaosoma mafunzo ya Udaktari katika Chuo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

New security plans for the Statue of Liberty could leave visitors vulnerable...

 Sen. Charles Schumer and New York Police Commissioner Raymond Kelly called for the National Park Service to reverse its plan, which calls for visitors to board boats either lower Manhattan or New...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Venezuela Catholic Church ‘running out of wine’.

The Catholic Church in Venezuela has said it is running out of wine to celebrate Mass because of nationwide shortages of basic supplies. It said the scarcity of some products had forced the country’s...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live