Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpokea na kumkaribisha Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Jassin Mohamed Mubarak Al-Darwish,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bundi atua Chadema Singida, tafrani tupu

Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Singida katika picha. Na Nathaniel Limu, Singida WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi  mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida,na hali imechafuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CSR in Africa Awards: 8 finalists will run for the 1st edition of the awards...

“Getting ready for the European Year for Development 2015” BRUSSELS, Belgium, November 5, 2014/– On Wednesday, 26th November 2014, the EU-Africa Chamber of Commerce (EUACC) will host a gala ceremony...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfuko wa GEPF wapanua wigo kwa kuzindua ofisi mpya nyanda za juu kusini...

Meneja wa kanda ya Nyanda za juu kusini Bw Ramadhan Sosora akitoa neno la ufunguzi na utambulisho kwa wanahabari. Meneja Masoko kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la kimataifa la mitaji hisa...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa TPSF, Dkt. Reginard Mengi, wakati alipowasili kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge Novemba 4 -28, 2014

parliament_timetable_november_2014(1).pdf by moblog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tony Blair, Former Prime Minister of the United Kingdom, to Present a Keynote...

Mining Indaba, the world’s largest mining investment event will take place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town, South Africa The organisers of the annual Investing in African Mining Indaba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini ataka wananchi wa vijijini wasaidiwe...

Mratibu  wa  mradi  wa  kudhibiti  wanyama  wakali  kwa kutumia   waya  na   mitii  maalumu  inayohimili  ukame  unaofadhiliwa na UNDP  Dr. Maurus  Msuha akitoa maelezo kwa Mratibu Mkazi wa mashirika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania kuendelea kuhifadhi misitu kuisaidia dunia

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akibadilishana mawazo na kushoto ni Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anglo American invests R15 million in Chair of Occupational Hygiene at Wits...

Mining continues to play a central role in shaping the social, political, economic and health landscape of South Africa and Africa today, Anglo American (http://www.angloamerican.com) is investing...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DANGOTE akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha Saruji Mtwara

 Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Group of Industries), Alhaji Aliko Dangote (kulia) mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria, akiteremka kwenye ndege alipowasili kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa WHO amwonya Rais wa Liberia kuhusu Ebola

Anthony Banbury akiwa kwenye kikao maalum na Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf  kwenye Ikulu ya nchini hiyo. Na Mwandishi wetu Afisa wa Umoja wa Mataifa anayehusika na mapambano dhidi ya maradhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeme Hai watengewa bil. 1.8/-

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga. Na Mwandishi wetu JUMLA ya sh. bilioni 1.8 zitatumika katika kutekeleza ujenzi wa mradi wa umeme katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro. Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhamiaji waanza msako wa nyumba kwa nyumba

Na Mwandishi wetu IDARA ya Uhamiaji inaanza msako wa nyumba kwa nyumba kubaini wahamiaji haramu kwa kuchukua taarifa za wanandoa ambao wameolewa na raia wa kigeni ili kubaini wahamiaji hao. Hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua baraza kuu la vijana Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza wakati alipofungua semina ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa kwenye ukumbi wa  CCM White House mjini Dodoma Novemba 7, 2014. (picha na Ofisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mayai mabovu yasambaa Dar !

 Na Mwandishi wetu AFYA za wakazi wa jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kula mayai ya kuku yaliyooza, ambayo yameingizwa kinyemela nchini na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni wawekezaji....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye Maadhimisho ya miaka 20 ya Mahakama ya Mauaji ya  Kimbari ya Rwanda (ICTR), ulioanza leo Novemba 8,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Industry Professionals Invited to 1st ever Hospitality Conference in Tanzania

Mkutano wa Kwanza wa Huduma hizo (Hospitality Roundtable) kwa nchi za Afrika Mashariki utawakutanisha wasambazaji wakubwa, wanunuzi, wawekezaji na watoa huduma wengine kwenye sekta hiyo kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi ya taifa ya takwimu yatoa taarifa za mfumuko wa bei nchini

Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu na Makazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mfumuko wa bei nchini....

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live