Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda azindua harambee ya ujenzi wa Kituo cha watoto na vijana-UDSM

Waziri Mkuu, Mkzengo Pinda akisalimiana na  viongozi wa Kanisa la Umoja la Chuo Kikuu cha Dar es salaa  baada ya kuwasili chuoni hapo ili kuzinduaa harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumla ya wasichana 6,000 Mkoani Mtwara wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga...

Na Mwandsihi Wetu Zaidi ya jumla ya wasichana 5,784 mkoani Mtwara walio kwenye umri wa balehe sasa wapo katika nafasi nzuri ya kujikinga na mimba za umri mdogo zinazowasababishia kuacha shule pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaja na mbinu mpya kukabili makali ya Umeme

Na Mwandishi wetu Serikali imesema inakusudia kuachana na mfumo wa matumizi ya nishati ya umeme wa maji na badala yake itaanza kutumia nishati jadidifu inayozalisha umeme kwa kutumia njia ya gesi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wengi watamani kujiua Uingereza

Na Mwandishi wetu Imeelezwa kuwa idadi ya watoto wanaofikiria kujiua imeongezeka ghafla nchini Uingereza hali inayoonyesha kuwepo ongezeko la asilimia 116 kulinganisha na kesi zilizorekodiwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanchick watoa msaada wa chanjo 600,000 kwa wafugaji kuku Zanzibar

Mkurugenzi wa Kampuni inayojishughulisha na uboreshaji wa kuku Zanzibar(Zanchick) Bw.Issa Khasim Issa akikabidhi chanjo 600,000 zenye thamani ya Tshs 9,000,000 kwa  Naibu katibu katika kitengo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOA Bank yamwaga zawadi kwa wateja wanaoshiriki kampeni ya ‘weka akiba ushinde’

Meneja Mwanandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa BOA Tanzania, Bw. Solomon Haule akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kampeni yake inayoendelea ya ufunguzi wa akaunti mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha wakazi wa Mji wa Moshi

Wasanii wa kundi la Original Komedi wakitoa burudani kwenye uwanja wa Ushirika Mjini Moshi wakati wa kampeni ya kifurushi cha  Tigo welcome pack, Kifurushi hicho kitamwezesha mtumiaji wa Tigo kupata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

6th Annual Julius Kambarage Nyerere Commemoration Capital Heights, Maryland

Wasanii Luci Marphy Mmarekani (kushoto) na Anna Mwalagho kuoka Kenya wakiimba wimbo wa Taifa. Bwana na Bibi Rick Tingling wakiwashukuru watu kwa kuja kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msama Auction Mart kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wakamata vifaa...

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za  kurudufu CD  feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefu atamba CCM kuendelea kutawala

Balozi Seif akiwapongeza Viongozi wa CCM Majimbo,Wadi, na Matawi yaliyomo ndani ya Wilaya ya kati kwa kusimamia vyema ujenzi wa ofisi za chama hicho katika maeneo mbali mbali ya Wilaya hiyo.(Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Mkutano wa 12 wa Shirikisho la Taasisi za Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa nchi za SADC (Southern African Forum Against...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafunzo ya elimu ya ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la mashujaa wa...

Mafunzo ya elimu na ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa Kesho yanayoratibiwa na kampuni ya Statoil Tanzania, yenye lengo la kumjenga kijana kuwa mjasiriamali yamekamilika hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Artesunate-Mefloquine Fixed-Dose Combination (ASMQ FDC) Proves Safe and...

Clinical Trial Results Provide Evidence for Introducing This Artemisinin Derivative-based Combination Therapy (ACT) into Africa’s Current Malaria Treatment Arsenal to Help Tackle the Number One...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete azungumza na wazee wa mkoa wa Dodoma

Rais Kikwete akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani jijini Dodoma leo Oktoba 11, 2014  tayari kwa  mkutano wake na wazee wa mji wa Dodoma leo Oktoba 11, 2014 waliouitisha ili kuzungumza naye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN yapongeza mkakati wa kuelimishana kuhusu SDGs

Katibu Mkuu Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk. Abdulhamid Mzee akifungua rasmi warsha ya siku moja ya iliyohusisha wadau mbalimbali wa maendeleo, kuangalia malengo ya programu ya maendeleo endelevu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

New Maisha Club inakuletea Birthday Party Ever – PAM DAFFA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais abadilisha vituo wakuu wa mikoa, wapo wapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF yapeleka madaktari mkoani Mara, wawafanyia upasuaji wagonjwa mbalimbali

Mwakilishi wa Naibu Mkurugenzi mkuu wa NHIF Bwana Michael Kishiwa (mwenye koti jeusi) akimkabidhi  Mkuu wa wilaya ya Musoma Mh. Jakson Msome  vifaa tiba, kwa ajili ya matumizi ya hospitali hiyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIFF yatinga DISCOP Africa

Juma Doosa (kushoto) akizungumza na wateja  waliofika katika banda hilo.  Na mwandishi wetu Tamasha la tisa la DISCOP Africa limefunguliwa leo asubuhi kwa shamrashamra nyingi. Tamasha hilo la DISCOP...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live