Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nine Steps to Dealing With Negativity!

“If you don’t like something, change it. If you can’t change it, change the way you think about it.” You may be in daily interaction with negative people, be they friends, family members, a romantic...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini...

Ndugu zangu, Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania. Ni kwa nini tuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki utoaji tuzo wa Wanasayansi wachanga wa...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya utoaji Tuzo kwa Wanasayansi wachanga kutoka shule mbalimbali za Sekondari za Tanzania,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awaapisha Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20 Ikulu...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Panterine Muliis Kente kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 15, 2014 Rais Jakaya Mrisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania Limited...

Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa NHC, David Shambwe akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini hati ya makubaliano kati ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali...

Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo. Hussein Makame-MAELEZO KATIBU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Pinda asisitiza umuhimu wa ardhi katika uwekezaji

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Na Eleuteri Mangi- MAELEZO Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda amewatoa Watanzania hofu kuhusu suala la wageni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa kichanga wakutwa umefukiwa kwenye gofu Songea

Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela. Na Nathan Mtega wa Demashonews, Songea. Pamoja na kuwepo kwa harakati na utetezi kuhusiana na haki za watoto ikiwemo ya kuishi lakini bado wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA mko wapi? Abiria hawa wameteseka zaidi ya masaa 6 bila msaada

Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea Mwanza na basi la Princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari  Gari hilo lenyenamba za usajili T102...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema akitoa ufafanuzi wa masuala Kisheria  kwa waandishi wa habari kuhusu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya wakati wa mkutano uliofanyika jana jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanne waangukiwa na mawe mazito Mwanza

Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza wakiwa wamekusanyika eneo la tukio. Na Mwandishi wetu, Mwanza Watu wane wamefriki dunia katika Jiji la Mwanza baada ya nyumba zao kuporomokewa na miamba ya mawe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya...

Waziri  Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF yavuna Tabora

Na Mwandishi wetu Chama  Cha Wananchi (CUF) kimevuna wanachama zaidi  ya 400 kutoka vyama mbalimbali vya siasa kikiwemo Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya Chama hicho kufika katika maeneo yaliyokumbwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msichana wa Kitanzania ashinda mashindano ya Insha ya SADC

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga(16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako, Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel akutana na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani

Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel katika picha ya  pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe Philip Marmo nje jengo la ubalozi wa Tanzania jijini Berlin alipotembelea ubalozi huu akiwa kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yatamba Zimbabwe

  A rare photo of Arusha’s Ismaili leaders with Mwalimu Julius Nyerere taken during a community donation in the late 1960’s. (L to R) –The late Tanzanian President Julius Nyerere, Hashim Mbita, press...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani...

Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kuwashirikisha vijana katika programu za maendeleo

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 300/- kutoka RMB

Afisa Mtendaji Mkuu wa MeTL GROUP, Mohammed Dewji (MB) akisoma risala yake kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa Bilioni 300 za kitanzania kutoka Benki ya Rand Merchant ya Afrika Kusini (RMB)...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live