Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wa mji wa Korogwe waupokea kwa kishindo mpango wa TIKA, wachangia...

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Ngalawa akifungua mkutano wa siku ya wadau wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ambapo Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kuchukua maoni yao na kuwaeleza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Grand Opening wa Mgahawa wa Kitanzania sasa ni Ijumaa hii Washington DC!

JINA LIMEZOELEKA  KWA WATU WOTE. BUT  NOW UNDER NEW MANAGEMENT NEWLY RENOVATED  RESTAURANT YA KISASA KWA AJILI YAKO TUTAKUWA TUNA DELIVER MAENEO YA KARIBU CARRY OUT  PIA KAMA KAWAIDA SUMMER TIME...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais kikwete aanza ziara rasmi Uingereza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara nadra sana kufanywa na viongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Semina ya kuwajengea uwezo Wajumbe Wanawake wa Bunge la Katiba yafanyika...

Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania(TGNP) Usu Mallya akitoa mada leo mjini Dodoma  kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kuhusu uzingatiaji masuala ya haki za wanawake , utu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serena Hotel yaungana na nchi zingine duniani kuadhimisha Saa za Dunia (Earth...

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Serena Hotel Bw. Seraphin Lusala (katikati)akiangalia moja ya aina ya taa zinazotumia umeme mdogo  wakati wa hafla ya Saa za Dunia (Earth Hour) jana jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Speaker Of East African Legislative Assembly (EALA) Faces Removal From Office!

According to East African Legislative Assembly rules and understandings, the speakership is rotational. As it is, the current Speaker is from Uganda. Her name is Margaret Nantongo Zziwa [in the photo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaharakati wamuunga mkono JK kupambana na ujangili

Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Chama Cha Msalaba Mwekundi (Red Cross), Dr. George Nangale, akizindua rasmi kampeni ya ‘Save The Elephant’ (Okoa Tembo) kwa niaba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama jitihada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Heifer International Tanzania yazindua mradi mkubwa wa kuendeleza sekta ya...

Naibu waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Mh Kaika Telele akiongea na wageni waalikwa na wadau wa sekta ya Maziwa Afrika Mashariki uliofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wakiri kupotea upinzani

.Ridhiwani ahakikishiwa kura kata ya Mandela .Wananchi wa Chalinze wasema dhihaka zinazotolewa na wapinzani kuisha tarehe 6 .Wafugaji wamuunga mkono. .Wapinzani warudisha kadi kama mvua  Mgombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘BIG RESULTS NOW’ yakusanya mabilioni kwa kipindi cha nusu mwaka

Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa ‘Mablogger’, iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, Machi 28, 2014. Semina hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Helios Towers launches In-Building Solution (IBS) to strength telecommunication

Helios Towers Chief Executive Officer, Norman Moyo (L) addressing participants the official launching of Helios In Building Solution in Dar es Salaam at the weekend. With him are some of Helios...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Japan yasaidia Tanzania bilioni 6 kuinua kilimo

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akitia saini hati ya makubaliano ya msaada wenye thamani ya ziadi ya bilioni 6 unaolenga kukuza sekta ya kilimo uliotolewa   na Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DSE yaanzisha shindano litakalowajengea wanavyuo utamaduni wa kweka akiba na...

Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Alexander Ng’winamila akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaa, Shule ya Biashara (UDBS) hawapo pichani wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB yakabidhi madawati 100 kwa skuli za sekondari Donge, Kitope

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akipokea Madeski 50 kwa ajili ya skuli ya Sekondari ya Kitope kutoka kwa Meneja wa Tawi la Benki ya NMB Bwana Bakari Khamis Mohd. Na Mwandishi Wetu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri kwenye Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo

Wajumbe  wa Bunge  Maalum la Katiba Betty Machangu na Zakia Maghji wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika vikao vya Kamati vya  kupitia vifungu mbalimbali  rasimu ya Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uingereza yajivunia kuongoza katika uwekezaji Tanzania

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana alivyotikisa Dar

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga. Wananchi waliohudhuria mkutano huo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pitisheni mpango wa TIKA-Magalula

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Magalula Said Magalula akifungua mkutano wa wadau mkoani Geita unatakaojadili mchakato wa uanzishaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii ujulikanao kama Tiba kwa Kadi (TIKA). Na Mwandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal apanda mti kuadhimisha siku ya kupanda miti Kitaifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. (Picha na OMR).

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

13 Watabasam na iPad za Smile

Mkuu wa Mauzo na Masoko wa kampuni ya Smile communications Tanzania, Lawrence Ndimbo akimpigia simu mmoja wa washindi wa promosheni ya Shinda iPad katika droo ya mwisho iliyoendeshwakatika makao makuu...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live