Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Restaurants Bizaare way of Serving!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TREVO yaendelea kujiimarisha Tanzania, watu mbalimbali wafaidika

Na Andrew Chale wa Modewji blog Bidhaa  ya TREVO yenye virutubisho vya asili zaidi ya 174, bidhaa kutoka nchini Marekani iliyotengenezwa kwa kuzingatia kanuni bora za afya na kufikia uthibitisho wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN kuainisha eneo kukumbuka biashara ya utumwa

Ofisa Habari wa UNIC, Stella Vuzo akisoma hotuba ya ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon kwenye maadhimisho ya kumbukumbu kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA afungua mkutano wa REPOA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifunga Mkutano wa Taasisi ya Research  on Poverty Alleviation in Tanzania  (REPOA) kwenye hoteli ya Bahari Beach Jijini Dar es salaam Machi 25, 2015. (Picha na Ofisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matunda ya Tanzania kuuzwa nje ya nchi

Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA SERIKALI imeweza kushawishi mashirika ya kimataifa ya ndege kuongeza idadi ya safari pamoja na kiwango cha mzigo kinachosafirishwa kutoka Tanzania kwenda nje ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Arusha yapingana na kauli ya Nape

Katibu Mwenezi akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Makao Makuu ya Chama hicho. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Isaack Joseph  akizungumza na waandishi wa habari jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajane kata ya Msalala Mbeya wadai kupokonywa mali wanapokata kurithiwa

Baadhi  ya wanahabari wanaoshiriki  katika warsha ya mtandao  wa kijinsia  Tanzania (TGNP)  wakiwa katika warsha  ya  siku  mbili  jijini  Mbeya. Baadhi  ya waraghbishi  wa  ngazi  ya  jamii  kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa...

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam. Na Andrew Chale wa Modewji blog Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jembe FM ya Mwanza yapewa leseni

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi leseni kwa redio ya Jembe FM ya jijini Mwanza kwenye ofisi za makao makuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana

  Na Andrew Chale wa Modewji blog Taasisi ya  Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR)  tawi la Mwanza mapema  Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la HAPA lamtunukia tuzo mwandishi wa modewjiblog Singida

Mwandishi wa habari wa modewjiblog Singida, Nathaniel Limu, akiwa na tuzo aliyokabidhiwa na shirika lisilo la kiserikali la HAPA kwa mchango wake wa kushiriki utekelezaji wa mradi wa ushiriki sawa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Don’t Judge Woman by Clothes!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na uongozi wa kampuni ya China Merchant Group

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimwonyesha Mwenyekiti wa Kampuni ya China Merchants, Group, Bw. Li Xiaopeng jarida linaloonyesha fursa za uwekezaji nchi lililotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chuo cha CBE kuanza kutoa shahada ya elimu katika masuala ya biashara

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akizungumza  wakati  wa mkutano wa wadau na wataalam wa elimu kutoka Taasisi za Elimu, vyuo, walimu wa masomo ya Biashara wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa kamati ya watalaam wa fedha, uchumi na mipango wa nchi wanachama...

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Hamis H. Mwinyimvua (Kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mh.Naimi Azizi wakiwaa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Watalaamu wa masuala ya Fedha Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa vyama vya walimu wa nchi za AFR/Mashariki wafanya mkutano wa siku 4...

Mratibu Msaidizi wa Utafiti na Mafunzo wa Umoja wa Vyama vya Walimu wa Nchi za Afrika Mashariki (FEATU) Bi. Lucy Njura Barimbui akiwasilisha mpango kazi wa miaka 5 ya Mtandao wa Wanawake wa Vyama vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka Bungeni mjini Dodoma leo kunakoendelea kikao cha nne

Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge)Mhe.Jenista Mhagama akisoma Muswada wa Sheria ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania kwa mara ya pili katika Bunge,Mjini Dodoma. Mhe.Lediana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitabu cha Dira na Tumaini Jipya Handeni

Picha juu na chini ni mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Bingwa, Dimba na Mtanzania kutoka Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Sharifa Mmasi pichani akisoma kitabu cha Dira na Tumaini Jipya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimraribisha Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati (Central Corridor...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Understanding Endometrial Cancer – The Basics

What Is Endometrial Cancer?: Cancer can affect the uterus, the hollow, pear-shaped organ where a baby grows. The uterus is lined with a special tissue called the endometrium. When cancer grows in this...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live