Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na...

FINAL_Press Release German First Lady Visit_03022015.docx by moblog   Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIC yakutana na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Juliet Kairuki (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano maalum kati ya Uongozi wa TIC na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ololosokwan wapigwa msasa kukitumia vyema kijiji cha dijitali

 Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la saratani ‘lipo ndani ya uwezo wetu’

Tarehe 4 ya mwezi wa pili, inatukumbusha kwamba tunapaswa kupambana na ugonjwa wa saratani, ambao ni tatizo kubwa sana duniani kwa sasa. Mwaka huu, siku hii maalum imepangwa kufikia matokeo chanya juu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24...

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Multichoice yazindua king’amuzi kipya cha DStv HD

  Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na wanahabari  (hawapo pichani), wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa king’amuziki kipya cha  DStv...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Establish an inclusive multi-stakeholder Education

Mr. Bertin Mushi, Marketing Manager, Promasidor Tanzania Ltd and Ms. Fatma Fernandes from Abel & Fernandes Company Ltd exchanging ideas with primary school children at the Launch of Hatua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA azungumza na viongozi wa dini

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha viongozi wa dini cha mashauriano kilichofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha  Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 3,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akutana na Waziri wa mambo ya nje wa Iran

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki na kisha kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislam ya Iran, Mheshimiwa Javad Zarif na ujumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GeoPoll and Control Union Use Mobile Surveys to Engage with Agricultural...

The partnership will initially focus on countries in Africa including Ghana, Kenya, Nigeria, Ethiopia, Tanzania, and Uganda  GeoPoll (http://www.geopoll.com), the world’s largest real-time mobile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Early Childhood Development Network (TECDEN) Your partner in child...

Tanzania Early Childhood Development Network (TECDEN) is a network that is formed by various Organizations which are working to improve children livelihood in Tanzania. This Network was established in...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Wahasibu

Mahasibu Mkuu wa Serikali Mwanaidi Mtanda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es salaam kuhusiana na mkutano mkutano wa 22 wa kimataifa wa Chama cha Wahasibu Wakuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar mbioni kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Pili kutoka Kulia akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania ukiongozwa na Bwana Ezekiel Olouchi aliyepo kati kati yao....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba wa Afrika apiga mweleka

Mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika hivi karibuni huko Addis Ababa nchini Ethiopia, Rais wa Zimbabwe Komredi Robert Gabriel Mugabe (Simba wa Afrika) alirejea nchini kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ibada maalum ya mazishi ya Baba mpendwa wa Mamertha na Henry Kente yafanyika

  Picha ya baba mzazi wa Mamertha na Henry Kente Mr. Wilbard W. Kente enzi ya uhai wake   Mamertha na Deo wakifuatilia ibada ya mazishi ya Mr. Wilbard Kente baba mzazi wa Mamertha na Henry aliyefariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakulima 7 wakabidhiwa Matrekta leo

  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikabidhi funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji, matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio ya picha kutoka Bungeni leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Februari, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muswada wa Sheria ya Habari sasa April mwaka huu

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Saidi Mtanda akiwasilisha taarifa ya kamati. Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma SERIKALI inatarajia kuwasilisha Muswada wa Sheria ya Habari katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yajidhatiti kudhibiti ujangili na biashara haramu Nchini

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.(Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma). Na Lorietha Laurence-Maelezo, Dodoma SERIKALI imejidhatiti katika kudhibiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni – Malindi

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live