Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la ESCROW Muhongo akubali yaishe!

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na waandishi wa katika mkutano uliofanyika mchana huu kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za Wizara hiyo, zilizopo kwenye Mtaa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete abadilisha baraza lake la mawaziri

  Moja wa Sura mpya katika baraza jipya la Mawaziri Naibu Waziri wa Elimu Anne Kilanngo Malecela akila kiapo Mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.  Katibu Mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana ashiriki upandaji wa zao la Mwani Kusini Unguja

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupanda zao la mwani katika Kijiji cha Kibigija, Jambiani, Wilaya ya Kusini Unguja, Zanzibar leo, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini...

MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma  kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amemteua Masha Musomba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Masha J. Musomba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi. Uteuzi huo ulianza Alhamisi iliyopita,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amvalisha Rais mpya wa Zambia

Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum  (Presidential suit) iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini Tanzania Sheria Ngowi akikagua gwaride rasmi kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkazi wa Kinondoni awa mmliki mpya wa Uchumi Supermarkets Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi SuperMarket (Afrika mashariki), Jonathan Ciano (kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik katika ufunguzi wa Tawi jipya la Uchumi lililoko Mbezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Julius Nyerere Master’s Scholarships at the University of Edinburgh

The University of Edinburgh will offer one scholarship to a student from Tanzania for postgraduate Master’s study in any subject offered by the University for the 2015-2016 academic session. The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN Tanzania waadhimisha siku ya kimataifa ya maadhimisho ya wahanga wa...

Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Mh Egon Kochanke akitoa historia fupi ya wahanga wa maangamizi Makuu ya Moto Dhidi ya Wayahudi katika maadhimisho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Utamaduni wa Russia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswira mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma leo

Spika wa Bunge, Anne Makinda akiongozwa na Mpambe  kuingia kwenye ukumbi wa Bunge  Januari 27, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiapa Bungeni mjini Dodoma. Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF, Real Madrid kuzalisha vipaji vya soka Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhani Dau (aliyekaa kushoto) na Mkurugenzi wa Ufundi wa timu ya mpira wa miguu ya Real Madrid, Bw. Ruben De la Red Gutierrez...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akitembeea katika eneo la mradi wa nyumba za wafanyakazi wa Mradi wa kuchakata Gesi Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL yatoa msaada wa sh. mil 45 za uchimbaji kisima cha maji zahanati ya Mji...

Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorice Malulu (kulia), akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 45, kwa Mganga Mkuu wa Zahanati ya Mji Mwema, Kigamboni, Bw. Richard Mwita,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa...

Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maafisa Mawasiliano watoa msaada katika hospital ya Ligula-Mtwara

Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Assah Mwambene (kulia) akikabidhi kwa niaba ya Maafisia Mawasiliano Serikalini msaada wa Kitanda cha wagonjwa kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

A Woman’s Confidence Never Comes In Bits & Pieces 4 all d beautiful and...

President Obama and his wife Michelle One night President Obama and his wife Michelle decided to do something out of routine and go for a casual dinner at a restaurant that wasn’t too luxurious.  When...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO yataka ubia na MWEDO

Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya Maendeleo ya wanawake wa Kimasai (MWEDO),  Ndinini Kimesera (kushoto) akimkaribisha Mkurugenzi Mkazi wa Unesco nchini, Zulmira Rodrigues kwenye ofisi za asasi hiyo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio mbalimbali ya picha kutoka Bungeni mjini Dodoma

Spika wa Bunge Anne Makinda akizungumza Bungeni Mjini Dodoma Januari 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Spika wa Bunge Anne Makinda akitoka Bungeni baada ya kulazimika kuahirisha kikao kabla...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live