Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Tigo yatoa zawadi za siku ya Mapinduzi kwa wateja wake Zanzibar

Mwakilishi wa jimbo la Wamtipura Zanzibar, Mh.Hamza Hassan Juma (kushoto) akipokea zawadi ya Tigo kutoka kwa Meneja wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Bw. John Wanyancha wakati wa maadhimisho ya sherehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete meets Millicom International Cellular Executive Vice...

President Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with the Millicom International Cellular South Africa Executive Vice President for Africa, Mr Arthur Bastings, who and his delegation  paid a courtesy call...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bilal mgeni rasmi majadiliano ya Vijana Malengo ya Milenia baada ya 2015

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal ataungana na taasisi ya ONE pamoja na Restless Development katika majadiliano na vijana walio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Maazimio ya Kamati Kuu ya CCM

Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari mapema leo akifafanua kuhusiana na ripoti na maazimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete na Mkewe wamjulia hali mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Algeria aliyemaliza muda wake awatakia Watanzania mwaka wa utulivu

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kuagana na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Djelloul Tabel,  Ikulu jijini Dar es Salaam, Jumanne jioni January 13, 2014 kwa ajili ya kumuaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi...

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania  na nchi za Ghuba (GCC)  utakafanyika kwa siku mbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGO kuwa na mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja leo kujadili malengo ya SDGS

Meneja wa sera na ushirikishaji wa TANGO, Zaa Twalangeti, akizungumza na Modewjiblog kwenye mahojiano maalum yaliyofanyika katika ofisi za TANGO jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa kitaifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli...

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu wa Botswana Mh. Festus Mogae atembelea Taasisi ya Uongozi

Rais mstaafu wa Botswana Mh. Festus Mogae (kushoto) akipokelewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute Profesa Joseph Semboja pale kiongozi huyo mstaafu alipotembelea ofisi hiyo iliyo chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leading African and global mining executives and investors announced for the...

The annual Investing in African Mining Indaba is the world’s preferred brand and destination in African mining The 2015 Investing in African Mining Indaba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1

Meneja Mkuu wa Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent (THT), Mwita Mwaikenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar leo. Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Seif apasua jipu kuhusu maendeleo

Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mabomba ya kusambazia maji safi Diwani ya Wadi ya Upenja Bibi Asha Abdulla Mussa kwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua mkuano wa tathimini ya programu ya BRN -Dar

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa zamani wa Botswana, Festus Mogae baada ya kufungua kikao cha mapitio ya Programu ya  Matokeo Makubwa sasa (BRN) kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa maendeleo ya takwimu Afrika waendelea nchini Uganda

Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Takwimu Rasmi kutoka Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika kilichopo Changanyikeni Dar es Salaam Bi. Oloumi Olatunde kutoka Nigeria akiwasilisha mada kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

  Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TGNP Mtandao Yawanoa Watendaji wa Serikali Juu ya Ukatili

Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada katika semina kwa watendaji wa Serikali kuhusiana na changamoto za kesi za ukatili wa kijinsia. Baadhi ya watendaji wa Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA amaliza ziara yake mkoa wa mjini magharibi Zanzibar

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi dawa kwa mganga mkuu wa hospitali ya jimbo la Mpendae Dr. Omar Shaban Amran wakati alipokabidhi sehemu  ya madawa kwa hospitali hiyo ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ahudhuria sherehe za kumuapisha Rais mpya wa Msumbiji

Rais Mpya wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi akila kiapo cha urais kuiongoza nchi ya Msumbiji jijini Maputo Msumbiji. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Rais Mpya wa Msumbiji Filipe Jacinto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na viongozi wa benki ya BADEA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Benki ya Arab Bank  for Economic Development  in Africa (BADEA) baada ya kukutana nao  kwenye Ofisini kwake jijini Dar es salaam Januari 16,...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live