Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa vyuo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimaiana na Mwenyekiti wa  Wanawake  wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyuo  vya Elimu ya Juu  (THTU) Leah  Ntara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi ya kikao cha Kamati Kuu mjini Dodoma

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM Dodoma. Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aandika historia: Aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero

Magari yakivuka juu ya daraja la muda la Mto Kilombero lililojengwa kurahisisha kazi za ujenzi wa daraja la kudumu katika wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro, wakati wa sherehe za uwekaji jiwe la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’

Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya  www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha...

Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha...

Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afanya ziara fupi jijini Mwanza

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa mbele ya kaburi la Vedasto Kitwanga,mtoto wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (Wanne kulia)  wakati alipokwenda nyumbani kwa Naibu Waziri huyo  eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda aongoza harambee ya Mkapa Fellows

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika harambee ya kuchangia Mradi wa Mkapa Fellows kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Mwanza August 23, 2014. Zaidi ya sh. Bilioni 1.3 zilichangwa. (Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wa CCM waunguruma Mtera Mkoani Dodoma

Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marehemu Lucia Kibusi aagwa, Boston, Massachusetts nchini Marekani

Watoto wa marehemu Martin na Steven Kibusi kulia wakiwa kwenye chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya kumuaga mama yao kumalizika kushoto ni marafiki wa karibu na watoto wa marehemu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Msama Promotion na Jeshi la Polisi wakatama kazi feki za wasanii

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye kituo cha polisi cha Urafiki wakati akitangaza kukatatwa kwa watuhumiwa 17 wanaorudufu kazi za wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzimu wa kujinyonga waendelea kutikisa Peramiho, mtu mwingine ajinyonga tena

Mwili wa Rashid Athuman ukiwa unaning’inia katika kitanzi ambacho alikifunga chooni kabla ya kujinyonga kasha kujifungia chooni. Mwili wa Rashid Athuman ukishushwa na wasamaria wema kutoka kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maggid Mjengwa aongoza mjadala Kwanza Jamii Radio: Nini tafsiri ya Mizengo...

Studio za Kwanza Jamii Radio. Kusikiliza mjadala huo ingia hapa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Toyota yafanya bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi wake, wanaume...

Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aydin Logistics donates 100 school desks to the Vingunguti Primary School

Ms. Esra Esriti Managing Director of Aydin logistics joined by The Ambassador of Turkey to Tanzania Mr. Ali Davudoglu and Vingunguti primary school officials Mr. Calist Chuwa during the handover of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yakiri sheria ya ndoa ya 1971 haifai

Mgeni Rasmi katika utambulisho wa kampeni ya kitaifa kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Anna Maembe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda atajwa mbio za Urais 2015

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipigiwa magoti na Matrida Kitwanga (kulia) mke wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kulia) baada ya kuwasili nyumbani kwa Naibu Waziri huyo, eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Afrika Mashariki kufanya kikao chake cha Bunge Karimjee Dar, JK...

Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa  akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live