Happy Birthday Mwamvita Makamba
Our friendship is made of gold and it will never rust, will stay precious until the world turns to dust. Happy Birthday and may your every wish come true!
View ArticleTaasisi ya Chakula na Lishe yaelezea umuhimu wa vitamini A watoto
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Elifatio Towo (Katikati) akieleza umuhimu wa vitamini A, Kushoto ni Afisa Lishe Mwandamizi Bi. Neema Joshua na kulia ni Afisa Mtafiti wa...
View Article“Mpaka sasa maandamano mengi yamefanyika hapa nchini”- SACP Simon Sirro
Kamishina Mwandamizi wa Jeshi la Polisi nchini (SACP) Simon Sirro akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wiki mbili kwa makamanda wa Jeshi hilo nchini, mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na UNDP yana...
View ArticleSingapore to boost economic ties with Africa
Mr G. Jayakrishnan, Group Director for Middle East and Africa, International Enterprise (IE) Singapore. Third edition of Africa Singapore Business Forum sets the stage for stronger trade and...
View ArticlePinda atembelea shule ya wasioona ya Bigiri – Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua majengo na vifaa vya kufundishia wakati alipotembelea Shule Maalu ya Wasioona ya Bigiri iliyopo Dodoma Juni 4, 2014 Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr....
View ArticleEricsson mobility report: Mobile internet usage to increase at twice the...
-Mobile internet use doubling year-on-year, with usage expected to increase 20 times in the next five years -By 2017, 3G technology will outstrip 2G to become the region’s dominant form of mobile...
View ArticleMziiki- A Free Music Streaming App Officially Launched
Music streaming in Tanzania and Kenya is still at its infant stages. Up until now, Kenyans and Tanzanians who wanted to stream music from their favourite local musicians had to go to Mdundo,...
View ArticleMatukio ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Mawsali Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal atoa tuzo za washindi wa usimamiaji wa mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza Wilaya ya Ilemela, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za Kilele cha...
View ArticleGeoPoll Unveils First Ever Overnight TV Ratings In African Markets
New Audience Measurement Service Launches with Unprecedented Data on the Viewing Habits of More Than 300 Million People James Eberhard GeoPoll Founder. GeoPoll (http://research.geopoll.com), the...
View ArticleWananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini...
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam. Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo,...
View ArticleWizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na...
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya...
View ArticleSalamu za Bodi ya Filamu Tanzania katika msiba wa George Otieno Okumu
Katibu Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fisoo akisoma salamu za rambirambi wakati wa kuuaga mwili wa aliyekua mtayarishaji wa filamu nchini George Otieno Okumu “Tyson” katika viwanja vya Leaders’ Kinondoni....
View ArticleNaibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele afungua rasmi semina ya...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akifungua mafunzo ya wachimbaji wadogo yaliyofanyika Kibara, mkoani Mara. Pia semina hiyo ilishirikisha...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal atembelea kiwanda cha Cocacola Mwanza katika...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Mwanza na wa Kiwada cha Cocacola, wakati alipowasili kwenye Kiwanda hicho...
View ArticleMaafisa Habari na Mawasiliano waaswa kutoa taarifa zinazohusu taasisi zao kwa...
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakati wa Semina ya Mafunzo iliyoandaliwa na Chama cha Maafisa...
View ArticleKinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa...
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji...
View ArticlePSPF kupitia PSS yazidi kuchimba hadi mizizi katika kufanikisha kuwafikia...
Afisa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji.H.Jamadary akizungumza namna yakuweza kufaidika na uchangiaji wa hiari katika mfuko wa pensheni wa PSS. Leo katika kuendelea kuchimba kwa mizizi kwa kuwapa elimu...
View ArticleMkazi wa Sinza kuona Kombe la Dunia kupitia promosheni ya Kwea Pipa na TBC
Na Mwandishi Wetu Promosheni ya Kwea Pipa na televisheni ya Taifa ya TBC kwa kushirikiana na kampuni ya Push Mobile Media Limited imezidi kupamba moto baada ya mshindi mmoja zaidi kupatikana. Deocary...
View Article