Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Stephen Masele afungua rasmi semina ya wachimbaji wadogo Kibara mkoani Mara

$
0
0

Picha Na. 1

Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akifungua mafunzo ya wachimbaji  wadogo yaliyofanyika Kibara, mkoani Mara.   Pia semina hiyo ilishirikisha viongozi wa vijiji, vyama  pamoja na madiwani lengo likiwa ni kuwapa uelewa wa  sheria na  kanuni za uchimbaji wa madini. Aliyekaa katikati ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara  Mhe. Kangi Lugora.  Kushoto ni Kamishna Msaidizi – Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo Mhandisi Fredy Mahobe.

Picha Na. 2

Naibu Waziri  wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Mhe. Stephen Masele akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa semina  hiyo.

Picha Na. 3

Mtalaamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi  Kungulu Kasongi akiwasilisha mada wakati wa  semina hiyo.

Picha Na. 4

Mtaalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi  Kungulu Kasongi akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo.

Picha Na. 7

Baadhi ya wajumbe wakifuatilia mada iliyokuwa ikiwasilishwa na mwezeshaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Kungulu Kasongi (hayupo pichani).

Picha Na. 5

Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Masele akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wachimbaji wadogo mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo.

Picha Na. 6

Sekretarieti  ya maandalizi ya semina hiyo ikiwajibika.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles