Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: “Chochea Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia”

Katika kusherehekea Siku ya Wanawake Dunia tarehe 8 Machi mwaka huu, kipindi pekee maalum cha Wanawake Tanzania Wanawake Live kilipata nafasi ya kuhudhuria kilele cha maadhimisho hayo katika mikoa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi Airtel wachangisha fedha kwa ajili ya wanawake wanaougua kansa

Wafanyakazi wanawake wa Airtel wakitoa huduma ya chakula kwa wafanyakazi wenzao wakati wa tafrija fupi waliyoiandaa kwa dhumuni la kukusanya fedha ili kuwachangia wagonjwa wa kansa waliopo hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yajipanga kuwa na Sera ya Filamu

Mtendaji Mkuu Bodi ya Filamu Bi. Joyce Fisoo akiwasilisha Rasimu ya awali ya Sera ya Filamu wakati wa moja ya kikao cha wadau cha kujadili rasimu ya awali ya Sera ya Filamu kilichofanyika hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Kuwa na Ubalozi wa Tanzania Nchini Korea

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda akimweleza Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje na Muungano kutoka Korea Bw. Ahn Hong Joon, Mipango mbalimbali inayofanywa na Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo yazawadia simu za kisasa wateja wake bora wa Facebook na Twitter

Mtaalam wa Mitandao ya Kijamii George Katoto akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kutoa tuzo kwa wateja wake bora walioshiriki zaidi katika kurasa za Facebook  na Twiiter za kampuni hiyo mapema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kura 487 zampa Sitta Uenyekiti Bunge Maalum la Katiba

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Stephen Wasira akiwa na Mjumbe mwenzie wakielekea katika ukumbi wa Bunge kwa Ajili ya Upigaji kura ya Nafasi Mwenyekiti Leo Mjini Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalum la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waendesha “Bodaboda”, Bajaji, sasa kukiona Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki  akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kutoa agizo kwa viongozi na watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Burundi pamoja na Mwenyekiti wa Kamati...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na   Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya  Mambo ya Nje na Muungano wa Jamhuri ya Korea, Ahn Hong Joon (kulia kwake) na msafara wake baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano ya Mbuzi za Hisani yachangisha m795 tangu kuanzishwa 2001

Meneja wa Mawasiliano wa Tigo, Bw. John Wanyancha (kulia) akiongea na waadishi wa habari wakati wa kutangaza Udhamini wa Mashindano ya mbio za mbuzi yatakayofanyika mwezi Juni .Wengine ni Karen...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CTI watembelea Kiwanda cha Bia cha TBL Dar

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Bw. Steve Kilindo (wa tatu kushoto), akiwaelekeza jambo wadau kutoka  Shirikisho la wenye viwanda Tanzania (CTI), waliofanya ziara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania washauriwa kuwekeza na dhamana ya Uwekezaji Tanzania

Mkurugenzi wa Masoko Na Mahusiano Kutoka  Dhamana ya Uwekezaji  Tanzania Bwana Daudi Mbaga akitoa Mada Kuhusu Kuwekeza kwenye Mifuko iliyo chini ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania Kwajili ya Maisha Mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBC launches direct proposition to its Customers

NBC Bank Tanzania Managing Director, Ms. Mizinga Melu (L) pressing a laptop button to official launch the NBC Direct proposition in Dar es Salaam yesterday.  Others from second left are; NBC Head of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubelgiji yaipa Tanzania msaada wa sh. bilioni 40 kusaidia sekta ya Kilimo na...

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwalile (kulia) akisaini mkataba wa msaada ambao serikali ya Ubelgiji imetoa Euro milioni 20 sawa na sh.bilioni 40 za Kitanzania kuisaidia Tanzania....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mega Trade watoa msaada kwa waliokumbwa na maafa wilaya ya Hai – Kilimanjaro

Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga (watatu kushoto) akipokea msaada wa mabati yenye thamani ya shilingi Milioni 5 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mega Trade Investiment ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samia achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti Bunge maalum la Katiba

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mwenyekiti Mteule wa Bunge hilo Bw. Samwel Sitta akibadilishana Mawazo na Mjumbe wa Bunge Hilo Mohamed Seif Khatib ndani ya Ukumbi wa Bunge leo Mjini Dodoma. Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFDA yateketeza vipodozi visivyofaa vyenye thamani ya Sh. Milioni 188

Afisa Uhusiano wa Mamalaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Gaudensia Simwanza akizungumza na wanahaabari (hawapo pichani) kuhusu vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamlaka hiyo.Kulia ni Afisa Habari wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu vitambulisho kwa wandishi kwenye Bunge maalum...

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene akizungumza na wabahabari (hawapo pichani) kuhusu utoaji wa Vitambulisho vya Waandishi wa Habari kwenye shughuli za Bunge Maalum la Katiba....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea Ripoti ya mgawanyiko wa watu kwa Umri na Jinsia leo...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa   Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Afya yamwaga ajira kwa Watumishi 27,795 kwa mwaka 2005/2013

Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi(MMAM).Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

First Anniversary of Suzanna Mgwassa

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live