Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aomboleza kifo cha Mzee Nelson Mandela

Marehemu Nelson Mandela. Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za rambirambi Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini  na kupitia kwake, kwa mkewe Bi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na JKT akagua shughuli za Wizara Wilayani Bagamoyo

Katibu Mkuu  Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Bw. Job Masima akifukungua mafunzo ya siku moja ya Watumishi wa Umma wa Wizara ya Ulinzi na JKT mikoa ya Dar es Salaam na Pwani yaliyolengwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais mgeni rasmi mahafali ya kwanza ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB)

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), Profesa Costa Ricky Mahalu akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani). MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), Profesa Costa Ricky Mahalu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. January Makamba awasili Washington DC

Naibu Waziri wa mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba akiwa na mkewe Ramona Makamba wakipokewa na Afisa Ubalozi Mindi Kasiga(wapili toka kushoka) na mwenyekiti wa Vijimambo Baraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IFC Helps Chinese Developer Construct Energy-Efficient Building in Tanzania...

  IFC, a member of the World Bank Group, has agreed to provide financing to support Chinese developer CRJE Estate Ltd. to construct an energy-efficient commercial building in Dar es Salaam, the largest...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Janet Pinda alamba Nondozz ya Shahada ya Uzamili ya Uongozi katika Mifumo ya...

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Jaji Barnabas Samata  (kushoto) akimtunuku Shahada ya Udaktari wa Falsafa ya Chuo Kikuu hicho,  Mbunge  wa Viti Maalum Pindi Chana  katika Mahafali yaliyofanyika Chuoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sekta ya Simu nchini Tanzania yapata neema baada ya kuingia kwa kampuni mpya

Sekta ya mawasiliano ya simu Tanzania na Afrika Mashariki leo imepata matumaini mapya kufuatia kuingia kwa kampuni mpya ya simu ya kipekee, ya ubunifu, yenye kwa jamii, na yenye ushindani kuliko zote,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA yaipa Azam Media leseni kuiwezesha kuendesha shughuli zake

Azam Media Ltd imepata leseni kutoka Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA) na hivyo kuwa na uwezo wa kuanza rasmi shughuli zake hapa Tanzania. Hatua hii muhimu sasa inaiwezesha AzamTV kuanza kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania waaswa kuheshimu Haki za Mtoto

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania (THBUB), Jaji Mstaafu Amir Manento akizungumza na waandishi wa habari wakati mdahalo wa Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete speaks at the end of the Elysee Summit in Paris, France

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete speaks during a joint press conference at the end of the Elysee Summit for Peace and Security held in Paris and ended yesterday afternoon. The Summit discussed among...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazazi, walezi watakiwa kufuatilia maendeleo ya watoto wao mashuleni

Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko wilayani Ikungi, Olivary Kamilly akitoa taarifa yake wakati wa makabidhiano ya majukumu kati ya kamati iliyomaliza muda wake na ile inayotarajiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda azindua Jimbo la Kanisa la Sabato

Waziri Mkuu,  Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua  Jimbo la Kusini mwa Tanzania  la Kanisa la Waadventista wa Sabato kwenye  uwanja wa maonyesho wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Desemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya Miaka 52 ya Uhuru kufana, Wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu  kukamilika kwa maadalizi ya sherehe za miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania Bara zitakazofanyika tarehe 9...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL yapata Tuzo Mbili za Ujairi Bora Tanzania

 Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, akikabidhi cheti kwa Meneja Rasilimali Watu Uhusiano wa Kibiashara (HR Business Partner) wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Emmanuel Christopher (kulia),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCME washirikiana na VETA katika kutoa mafunzo ya uchimbaji madini kwa wazawa

Mgeni Rasmi katika sherehe za mwaka za Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (Tanzania Chamber of Minerals and Energy) Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizugumza kwa niaba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo la Watoto wenye ugonjwa wa Vichwa vikubwa na mgongo wazi laongezeka

Afisa Muuguzi msaidizi wa taasisi ya tiba ya mifupa,mishipa ya fahamu na upasuaji wa Ubongo(MOI)katika Hospitali ya Taifa Muhimbili,akitoa ushauri kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kitengo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahitimisha mbio za Uhuru (Uhuru Marathon) kwenye...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa Tamasha la kuhitimisha Mbio za Uhuru (Uhuru Marathon) zilizomalizikia kwenye Viwanja vya Leaders...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Erick’Msengii’natianota na Herieth wameremeta jijini Dar

Waliomeremeta wakiingia ukumbini kwa raha zao huku wageni waalikwa wakiwafurahia. Bwana Harusi Erick’Msengii’Natianota akimlisha cake mke wake kipenzi Herieth Kashangaki siku waliyoamua kuachana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe. January Makamba atembelea Darasa la Kiswahili DMV

 Naibu Waziri wa mawasiliano, sayansi na teknologia, Mhe. January Makamba akiongozana na Afisa Ubalozi Mindi Kasiga siku ya Jumamosi Dec 7, 2013 College Park Maryland, siku alipotembelea darasa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usiku wa Uhuru DMV

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Januari Makamba akiongozana na mkewe Ramona Makamba  wakiwasili ukumbini na kulakiwa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchinii Marekani na Mexico...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live