Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana awasili Songea Mjini

 Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ukipita leo katika ‘mkeka’ wa barabara, ulipokuwa ukitoka Namtumbo kwenda Songea, Kinana akiwa katika ziara mkoani Ruvuma, kukagua utelekezaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pambika na Samsung yafanya droo ya kwanza kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka

Meneja Mauzo Rejareja wa Samsung, Sylvester Manyara akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati wa droo ya kwanza ya kuwatangaza washindi wa moja katia ya droo sita za kila wiki za Promosheni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua mkutano wa Majaji Afrika

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana  na Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande (kushoto) na Rais wa Mahakama ya Afrika Jaji  Sophia Kuffo kabla ya  kufungua mkutano wa majaji wa Afrika kwenye kituo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awahutubia Wanasongea leo

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Sokoni Bombambili mjini Songea leo wakati wa ziara yake ya kikazi katika mkoa wa Ruvuma, akikagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mayor Silaa raises 16.2 million

Guest of honour Mama Asha Bilal wife of the Vice President addressing invited guests. .Dawati Ni Elimu Art Brunch a success The First of its kind mayoral ball aims to raise TZS 4.98 Billion towards...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madaktari wako wapi?

Jumla ya Madaktari 890 kati ya 2,246 (ambayo ni sawa na 39.6%) ya Madaktari wenye shahada nchini Tanzania hawafanyi kazi ya kitabibu badala yake wanafanya kazi zingine. Aidha imebainika kuwa madaktari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanye Watabasamu waendesha mafunzo ya Uchoraji Lushoto

Mratibu wa programu ya Wafanye Watabasamu ambaye pia ni mchora vibonzo wa ITV, Nathan Mpangala (mwenye pensi nyanya), akiingia katika Kituo cha Ukuzaji Sanaa cha Koko’TEN kilicho Wilaya ya Lushoto,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kuendelea kutumia rasilimali kukabiliana na umasikini

Naibu Waziri wa Fedha  Saada Mkuya  Salum (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  mkutano wa kupitia  utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali (GBS) ulioshirikisha  na  Washirika wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Worth every moment – Ralph Marston

Some days will be joyful and other days will be painful. Through it all, life is worth every moment. Some experiences will be frustrating and others will be exhilarating. Choose to see the positive...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pan Africa Energy mbioni kumaliza ukarabati visima vya Gesi vya Songosongo

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba akitoa ufafanuzi jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, juu ya kupungua kwa mgao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band yazidi kuongeza utamu wa burudani, njoo ushuhudie kipaji kipya...

Aneth Kushaba AK47 akiongoza kikosi kazi cha Skylight Band kuwaburudisha mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha maraha Thai Village Masaki jijini Dar, usikose usiku wa leo burudani kem kem...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Uchukuzi Dk. Charles Tizeba aendelea na ziara yake mkoani...

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa tatu kutoka kulia), akiongea na fundi ambaye anafanya shughuli za ujenzi katika Daraja la Reli la Bahi-Kintinku. Dk. Charles Tizeba amefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nchimbi afunga mafunzo ya kozi ya kuzima Moto wa Ndege Jijini Dar

Wahitimu wa Jeshi wa Zimamoto na Uokoaji wa kozi ya kuzima moto wa ndege wakizima moto kwenye ndege bandia kabla ya mafunzo yao kufungwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

P-Square watua Dar “Kupagawisha Jumamosi Leaders Club”

Mwanamuziki wa kundi la P – Square, Paul Okoye akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarake Nyerere, Tayari kwa ajili ya kutoa burudani kwa Watanzania, Msanii huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya NBC yafanya mazungumzo na wateja wao Jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) William Erio katika hafla iliyoandaliwa na bodi kwa wateja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO is among the 10 Successful African Entrepreneurs To Follow On Twitter –...

  Dewji is the CEO of Tanzania’s METL, a leading conglomerate with interests in manufacturing and distribution. He takes to Twitter to tweet business success quotes, links to stories about African...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

P – Square watoa wito kwa vyombo vya habari nchini

Paul Okoye wa kwanza kulia, akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu tamasha watakalolifanya kesho Jumamosi. Novemba 23 katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Wa pili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani yaadhimisha miaka 50 tangu kuuawa J. F. Kennedy

Marekani leo inaadhimisha miaka 50 tangu kuuawa kwa kupigwa rais wa 35 wa nchi hiyo, John F. Kennedy, mjini Dallas tarehe 22 Novemba mwaka 1963 akiwa na umri wa miaka 46, na hivyo kuuzima mshumaa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Britain is Europe’s fastest growing country as population rises by 400,000 in...

.One third of the increase was down to immigrants but the other cause is that 243,900 more babies were born last year than people died .The number of live births in Britain was 813,000 in 2012, the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana afanya ziara kijiji cha Lituhi

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya jinsi ya kutumia vifaa vya maabara katika kufanikisha kutambua kemikali kutoka kwa wanafunzi wa kidato cha nne Erasto Ndumba na Stella...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live