Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK azindua Miradi ya Maendeleo na kuhutubia Wananchi wa Magu

  Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Magu eneo la  Ilungu karibu na mji wa Magu.  Jengo hilo litagharimu shilingi bilioni 6 na milioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefu Iddi atembelea hoteli zilizoungua Moto Unguja Kaskazini leo

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mmiliki wa Hoteli ya Sun Set Bungalows iliyoko katika Kijiji cha Kendwa Nungwi Abdullsamab Ahed Said akikagua athari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania Adubo M. Omar yupo Mortuary Dallas Texas Tangia Aug 26, 2013 ndugu...

  Mtanzania Adubo M. Omar yupo Mortuary Dallas Texas nchini Marekani tangia Aug 26, 2013 Frank Maji ambaye ametuletea habari hizi amesema Marehemu alishawahi ishi miji ya Cedar Rapids na, Des Moines...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiwanda cha kwanza cha kuchambua taka chazinduliwa Gongo la Mboto jijini Dar

Diwani wa Kata ya Gongo la Mboto ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akimlaki mgeni rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt. Terezya Huvisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Islamic Banking ya NBC kupeleka wateja wawili na wenza wao Hijja

 Kaimu Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki kwa Kufuata Kanuni za Kiislamu (Islamic Banking), wa Benki ya NBC Tanzania, Yassir Masoud (katikati) akizungumza katika droo ya awamu ya pili  kupata washindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yahimizwa kurahisisha kilimo cha mkataba

Na. Mwandishi Wetu Sekta ya pamba nchini ina uwezo wa kuwakwamua wakulima wa pamba katika dimbwi la umaskini endapo serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wataweza kusaidia uwepo kilimo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AfDB co-organizes United Nations Private Sector Forum 2013

President of African Development Bank (AfDB) Donald Kaberuka.  By Special Correspondent The African Development Bank Group (AfDB) will play an active role in the United Nations Private Sector Forum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK azindua mtambo wa kufua Umeme Megawati 60 kupunguza makali ya mgao mkoani...

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa na kubonyeza kitufe kuashiria kuzindua mradi wa kufua umeme wa megawati 60 huko Nyakato, Mwanza jana. Kushoto ni Waziri wa Nishati na madini Profesa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yaendelea kuunga mkono kampeni ya usalama barabarani

Kamanda Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, DCP Mohamed R. Mpinga. Na Mwandishi wetu AIRTEL kampuni ya mitandao ya simu za mkononi nchini mwaka huu yadhamini tena uchapishaji wa Stika za usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

US gives Syria one week to surrender chemical weapons or face attack

John Kerry tells press conference with William Hague in London that US intelligence blames Assad regime for gas attack By Patrick Wintour      The US secretary of state has said that President Bashar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muhimbili yajidhatiti kupambana na Ugonjwa wa Moyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Marina Njelekela (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uboreshaji wa huduma za magonjwa ya moyo katika hospitali ya taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasimamizi wa mtihani waaswa kusimamia kwa umakini na uadilifu

Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mulugo akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani). Na. Eleuteri Mangi-Maelezo Serikali imewataka wasimamizi  watakaosimamia mtihani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bi. Joyce Fissoo afungua kikao cha siku mbili cha wadau wa Filamu kuhusu...

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania, Bi Joyce Fissoo akitoa hotuba kwa niaba ya mgeni rasmi baada ya kufungua rasmi Kikao cha siku mbili cha Wadau wa Filamu kuhusu Mjadala wa Sera ya Filamu ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Why Complicate Life

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoko wa kichama zaidi

Pichani juu na chin ni Wapenzi na wanachama wa CCM wakiwa wamependeza na ubunifu wa kutoka kichama zaidi wakati wa kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chama aliyesimama Nzega kabla ya kuendelea na ziara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beautiful thoughts on love

1. It hurts to love someone and not be loved in return. But what is more painful is to love someone and never find the courage to let that person know how you feel, and then regret it. 2. Maybe God...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ndio sababu za Job Ndugai zilizomfanya amtimue Mh. Mbowe Bungeni

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai. “Katika vikao vya Bunge, uamuzi wowote wa Spika unakuwa wa mwisho na hauwezi kupingwa na mbunge au waziri yeyote. “Mbowe nilimuomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK apokea taarifa ya ushindani wa biashara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea na kuisoma Ripoti Kuhusu Ushindani wa Kibiashara Duniani (Global Competitiveness Index – GCI) itolewayo kila mwaka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kigamboni Bridge on Construction, So far so good CCM Government keep it up!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

George Zimmerman akamatwa baada ya kumtishia mkewe, mkwe

George Zimmerman akiwa chini ya ulinzi wa askari kuelekea kituoni baada ya mkewe kutoa taarifa Polisi. Marekani, amekamatwa na polisi baada tuhuma za kumpiga mkwewe na kutishia kumpiga risasi mkewe na...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live