Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya mauaji ya Albino Aaron Nongo yaanza kusikilizwa tena

Na Daniel Mbega, Mwanza KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete: Wekeni waambata kulinda maslahi ya wanafunzi wa Tanzania nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kuhakikisha kuwa Balozi mbali mbali za Tanzania nje ya nchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza waombolezaji kuaga mwili wa marehemu John...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu John Nyerere, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shigongo azindua vitabu vyake vitatu vipya katika ofisi za Global

Mkurugenzi wa Global Publishers LTD, Shigongo Eric James (kulia), akishikilia vitabu vyake baada ya kumpatia jukumu la uzinduzi huo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni hiyo, Oscar Ndauka....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya usajili wa TMT season 2 kwa mikoa ya Mbeya, Mtwara na Dar

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Media in the Frontline: Journalists Target Political Hate in...

Journalists and African media leaders from the region are meeting this week to highlight the role of media and journalism in combating hate-speech and intolerance in the upcoming election campaign....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazuia Rushwa Afrika wakutana Arusha

Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika Umoja wa Afrika kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua maonyesho ya elimu Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Sista  Flosy Sequeire, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Saint Francis ya Mbeya tuzo maalum ya kutambua  ufalu mzuri wa wanafunzi wa shule  hiyo  wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume kuongeza majimbo

 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi.  Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEITI yawanoa waandishi wa habari za biashara juu ya uwazi katika sekta ya...

Mwenyekiti wa Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi katika Mapato ya Madini, Gesi asilia na Mafuta (Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (TEITI), Jaji  Mstaafu, Mark Bomani akifungua warsha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lumia Winners set for spectacular Cape Town Experience

(L-R)Uganda’s Onekalit Uhuru, Microsoft Mobile Device EA, General Manager Mariam Abdullahi, Tanzania’s Richard Mtango and Kenya’s Philip Mwaura. WINNERS (L-R) Uganda’s Onekalit Uhuru, Tanzania’s...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na wawekezaji toka Poland

Waziri mkuu, Miengo Pinda akizungumza na wawekezaji na watalaamu wa kujenga vihenge vya kisasa na vyenye uwezo wa kuhifadhi tani nyingi za nafaka hasa mahindi  ambao wanatarajia kujenga vihenge hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo yazindua usajiri wa kuzaliwa kupitia simu za mkononi kwa kanda ya Ziwa

Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu(kushoto)akionyesha moja kati ya simu 350 zilizotolewa na Kampuni ya Tigo kwa ajili ya mkakati wa usajili wa watoto waliozaliwa  wenye umri chini ya miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi ya taifa ya takwimu yasambaza matokeo ya Sensa wa watu na makazi ya...

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu akielezea umuhimu wa kufanya Semina  ya Usambazaji wa  Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wilaya ya Kakonko watakiwa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF-Kigoma

Katibu tawala wilaya ya Kakonko Bi.Zainab Mbunda akifungua Mkutano wa wadau wa Mfuko wa Taifa wa Afya ya Jamii CHF uliofanyika katika Ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waandishi wa Habari watakiwa kuepuka lugha za chuki

Meza kuu. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog).   Mshehereshaji wa Semina Bi. Rose Mwalongo akiwakaribisha washiriki wote waliofika kwenye semina ya siku mbili iliyoandaliwa na shirika lisilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Teknolojia katika sekta ya rangi

Kufuatia kukua kwa teknolojia ya kompyuta kwa sasa sekta tofauti tofauti zimeweza kuchukua fursa hiyo na kuitumia ipasavyo katika maeneo ya msingi; sekta ya upakaji rangi pengine ni moja kati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania

Pierre Nkurunziza -Pichani  Na MASHIRIKA YA HABARI Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamanda wa Vijana Makangira Msasani awatembelea waliokumbwa na mafuriko Bonde...

Kamanda wa Vijana Tawi la Makangira-Msasani, jijini Dar es Salaam, Yusuph Nassoro (kushoto) akiwa na mkazi wa eneo hilo wakati alipotembelea kwenye mfereji mkubwa uliojengwa kwa ajili ya kupitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma...

Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP  Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live