Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Hawa Ghasia azinduwa bodi mpya ya wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia akitoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ua wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).  Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo  jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya Mwisho ya DCP Mstaafu wa jeshi la Polisi Tanzania , Mzee Andrew...

 Jeneza lenye Mwili wa marehemu Mzee Andrew Michael Kumalilwa ukiwa tayari kushushwa nyumbani kwake Tabata Segerea ambapo misa ya kumuombea na kutoa heshima za mwisho zilifanyika kabla ya Kwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samsung goes ‘Beyond the Limit’ with its annual Africa Forum

Samsung Electronics (http://www.samsung.com/africa_e) is introducing a range of products to the African market at the sixth annual Africa Forum in Antalya, Turkey, as the company continues to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Today is Robert Mugabe’s 90th birthday, read his witty charisma here

Today is Robert Mugabe’s 90th birthday. For the last 34 of those years, he’s been Zimbabwe’s leader, and his life history in intrinsically linked with the country: It’s where he’s been a guerrilla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kusaga: Habari za kuuzwa Clouds Media Group ni uzushi wa kupuuzwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga. Na Mwandishi Wetu, Dar TAHARUKI iliyosambaa jana kwenye mitandao kijamii juu ya kuuzwa kwa Clouds Media Group, inayomiliki Clouds...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9

Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya. Na Fredy Mgunda, Iringa SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Saada Mkuya awataka wahitimu mbalimbali nchini kujiajiri pasipo...

Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo. Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa   wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa  Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano mkuu wa Jumuiya ya wawekezaji wa sekta ya utalii Zanzibar (ZATI)...

Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya wawekezaji wa sekta ya Utalii Zanzibar (ZATI) Bi. Pamela Mattheuu (aliesimama) akielezea hali ya Utalii ilivyo kwa sasa na kupanga mikakati ya kuitangaza zaidi sekta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA akagua miradi mbalimbali Iringa mjini

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasalimia walimu wa Shule ya Sekondari ya Kihesa, Iringa mjini  kabla ya kukagua ujenzi wa Maabara na kuhutubia wananchi akiwa katika ziara ya mkoa wa Iringa Februari 22,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kairuki afunga mkutano wa ukuaji wa miji Afrika Mashariki

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Mendeleo ya makazi,Mhe:Angela Kairuki, akiongea na Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika Mashariki wakati wa kufunga Mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Mohamed Amin Africa Media Awards – Call for Entries

Mohamed Amin Africa Media Awards – Celebrating Excellence AFRICA24 MEDIA, the Pan African, international quality, multi-platform content provider, joins MoSound, East Africa’s premiere events company,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaahidi kuipiga jeki NACTE

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi   Dkt. Shukuru Kawambwa  (kushoto)akimsikiliza kwa makini  Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela  wakati alipokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNCDF Call for Investment (Project) Proposals in Tanzania

This United Nations Capital Development Fund (UNCDF) call for investment proposals is the first in Tanzania under the Local Finance Initiative (LFI) programme which is being implemented in partnership...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani...

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

7 Habits of the World’s Richest People

BY JAYSON DEMERS | INC. Are there habits wealthy people consistently practice that impact their success? Are there traits or strategies we can incorporate into our own day-to-day lives that can give...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbatia aonyesha wasiwasi juu ya sera mpya ya elimu

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Zanzibar, Musa Kombo Musa (kulia), akimkaribisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia (katikati), ili azungumze na wanahabari Dar es Salaam leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yapata sh. bilioni 15 za kulipa madeni ya Mahindi

SERIKALI Serikali imepata mkopo wa sh. bilioni 15 ambazo zitatumika kulipa kiasi cha madeni ya mazao ya nafaka ambayo wakulima wanaidai kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA). Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Brien Holden Vision yatoa msaada wa vifaa vya kupimia macho Wilaya ya...

Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute, Eden Mahayo akisisitiza jambo wakati  alipofika katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga  kukabidhi msaada wa vifa vya macho...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live