Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF yatoa msaada wa Kompyuta 12 kwa vyuo viwili Bagamoyo

Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani (kushoto) akimkabidhi msaada wa Kompyuta Mkuu wa Chuo Kikuu teule cha Marian Father Luke Mbefo  ambapo Kompyuta hizo zitatumika katika kuhifadhi nyaraka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapendekezo yawasilishwa kwa uongozi wa Benki ya Dunia

Ujumbe kutoka Tanzania ukimsikiliza kwa makini  Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile alipokuwa akiwasilisha mapendekezo yake kwa Bw. Denny H. Kalyalya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi kunufaika na viwanja 444 vya NSSF

Frank Mvungi-Maelezo Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) laanza kuuza viwanja takribani 444 vyenye jumla ya mita za mraba 465,161 katika eneo la Kiluvya A Halmashauri ya Kisarawe Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zana za uvuvi haramu za mamilioni zateketezwa Sengerema

Katibu Tawala Wilaya Sengerema Bw. Focus Majumbi, (katikati) akishudia nyavu haramu kabla ya kuchomwa.  Wa kwanza kushoto ni Afisa elimu msngi Wilaya Sengema Juma Mwajombe na Kulia ni Afisa uvuvi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta

Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Iringa

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia huku mkono wake ukiwa umefungwa POP, katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa jana kuhitimisha ziara  ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania among the leading countries with teacher recruitment needs

Press release Teachers needed by 2030.pdf by moblog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkalama washukuru serikali kwa kasi ya kuwaletea umeme

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu). Na Nathaniel Limu, Mkalama SERIKALI  wilaya mpya ya Mkalama mkoani Singida, imeishukuru serikali kuu kwa hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Pinda akutana na Balozi wa Poland

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Poland nchini, Mhe. Marek Ziolkowskoi kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Oktoba 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIGO yazindua mnara wa kasi yenye 3G Namanga, Wilayani Longido

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa James Ole Millya (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya kasi ya 3G katika mnara wa Tigo mpakani Namanga, mkoani Arusha. Kulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Fedha, IMF na WB wazungumzia sera fedha

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni  kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa TIGO washiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya...

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisalimiana na Meneja wa huduma za Jamii wa kampuni ya simu ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kabla ya kuanza kwa matembezi ya kuchangia fedha kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF yanogesha mbio za Rock City 2014

Afisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Jumanne Mbepo (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 15 ili kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 Mratibu wa mbio hizo Bw....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Texas nurse treated for Ebola: ‘I’m doing well’

This Texas Christian University yearbook photo shows Nina Pham, 26, who became the first person to contract the disease within the United States. Records show that Pham and other health care workers...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaongoza wananchi wa Sengerema kumzika Dkt. Shija

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na Magavilla

HAVE A REFLECTIVE NYERERE DAY! Twitter @cmagavilla

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya msiba

Menejimenti ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao Bw. Amin Elias Mbaga aliyekuwa Meneja Uhusino kilichotokea tarehe 13.10.2014 katika Hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa...

Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Action Aid laendesha Bonaza la kuelimisha nguvu ya kodi kwa vijana

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live