Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta

$
0
0

DSC03597

Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

DSC03611

 Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora, Margareth Sitta akizungumza katika  sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. 

PG4A5363

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Margareth Sitta, watatu kulia ni Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na  wapili kulia ni  Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwansa.

PG4A5416

Waziri Mkuu  Mizengo Pinda na Mbunge wa Urambo Mashariki, ambaye pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta (mwenye miwani ya jua nyuma ya Waziri Mkuu) wakikagua  wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katiak hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014.

PG4A5430

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi kutoka kwa Wabunge Samuel Sitta na mkewe Margareth  baada ya kuzindua wodi ya   wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katiak hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014.   Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa.

PG4A5448

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, msaada wa vyandarua 100 na blanketi 300 kutoka kwa  Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta katika mkutano wa hadhara aliohutubia mjini Urambo.

PG4A5457

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda   akizungumza katika mkutano wa hadhara aliouhutubia  mjini Urambo Oktoba 12, 2014. Kulia ni Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa..

PG4A5470

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwaaga wananchi wa Urambo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

DSC03582

Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa  akizungumza katika mkutano uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Uyui Tabora.

DSC03588

Mbuge wa Igalula , Athumani Mfutakamba akizungumza katika Mkutano uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Uyui Tabora.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Latest Images

Trending Articles



Latest Images