Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nigeria has the potential to become a major economic force in the coming...

The report finds that Nigeria has the potential to expand its economy by roughly 7.1 percent per year through 2030 There is no disguising the challenges that Nigeria is facing. The world is well aware...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

People on Animal Skin!

Paintings and drawings to resemble animal skins on human beings.  

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua Mkutano wa 45 wa CPA Jijini Arusha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wajumbe wa Chama cha Wabunge kutoka nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: Air Algerie plane with 116 on board falls off radar

An Air Algerie flight with 116 people on board has dropped off radar, prompting a search for the missing plane, the airline’s operator said Thursday. Flight 5017 lost radar contact 50 minutes after...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S

GSK leo  Julai 24-2014 imetangaza   imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA). Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) Imeandaa Kongamano la...

Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kongamano hilo litafanyika tarehe 27 Julai 2014 siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa Wanawake na Katiba Wawanoa Wajumbe Bunge Maalum

Baadhi ya wahariri wa vyombo anuai vya habari wakiuliza maswali kwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba pamoja na Wajumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano  Maalum wa Nchi za  Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Carnegie Mellon University in Rwanda Graduates Its First Class

Carnegie Mellon University in Rwanda Graduates Its First Class. -The ceremony awarded 22 students with master’s degrees in information technology (IT) Carnegie Mellon University (CMU) in Rwanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya...

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

How to Keep Your Food Fresh for Longer

Nothing is more wasteful than food that hasn’t been eaten and allowed to go bad. It’s not only a waste of money but also a waste of good food that in other parts of the world would be worth more than...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOT takes over FBME Bank from today

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa kuwanoa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Wanamtandao wa...

Usu Mallya Mwanamtandao wa Ulingo wa Katiba na wanawake ambaye alikuwa ndiye mwezeshaji wa Mkutano huo ambao  ulikuwa ni wa siku mbili akiendelea kutoa mwongozo wa mkutano huo. Doreen E. Maro kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na Makamu wa Rais wa Sudan

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  makamu wa Rais wa Sudan, Hassabo Mohamed Abdel Rahman katika mkutano maalum wa nchi za maziwa makuu wa kujadili ajira kwa vijana uliofanyika jijini Nairobi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Shaban Ally Lila leo jijini Dar es Salaam. Jaji Kiongozi wa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Al-Maktoum watangaza puguzo la ada, Diploma, Degree na Certificate

Al-maktoum College of Engineering and Technology (AMCET) imetoa ofa ya punguzo la ada katika ngazi zote za cetificate, diploma na degree katika kozi zote wanazo zitoa. AMCET ambayo inataraji kupokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chavuka mipaka ya Tanzania, safari ni ndani ya...

Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’ Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge Maalum la Katiba kuendelea – SITTA

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari  jana (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live