Image may be NSFW.
Clik here to view.
Hii ni Clip fupi ya Hotuba ya Mzee Ali Hassan Mwinyi alipokutana na waZanzibar Washington DC, mwazo Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association (ZADIA) Omar Haji Ally aongea machahe ya kumkaribisha Mzee Mwinyi, katika Chakula cha usiku kilichoandaliwa rasmi na ZADIA Siku ya Jumapili April, 26, 2015, kwenye ukumbi wa Tabeer Hall iliopo Maryland Nchini Marekani.