Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Wahamiaji haramu warejea makwao baada ya agizo la Rais Kikwete.

$
0
0

PIC 2

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi  akizungumza na waandishi wa habari leo jijini  Dar es Salaam kuhusu wahamiaji haramu waliorejea kwao baada ya agizo la Rais Jakaya Kikwete   alilolitoa Juni 29, mwaka huu katika ziara yake ya mkoa wa Kagera.

PIC 3

Kamishina Mkuu wa Uhamiaji Bw.Magnus Ulungi (wa kwanza kulia mstari wa mbele) na Afisa Uhamiaji Mrakibu Bi.Rosemary Mkandala wakiwa katika mkutano wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi  alipozungumza na waandishi wa habari leo jijini  Dar es Salaam kuhusu wahamiaji haramu waliorejea kwao baada ya agizo la Rais Jakaya Kikwete   alilolitoa Juni 29, mwaka huu katika ziara yake ya mkoa wa Kagera.(Picha na Lorietha Laurence –Maelezo).


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Latest Images

Trending Articles



Latest Images