Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Prof Sospeter Muhongo, akutana na Mr Mayank Bhargava akiwemo Mr Paul Hinks mjini Washington, Dc

$
0
0
IMG_1884

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.

IMG_1885

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA akiwemo mweyeji wake Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao toka Tanzania.

IMG_1888

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini wakifuatilia mazungumzo hayo yaliyofanyika siku ya Jumanne June 10, 2014 kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.

IMG_1893

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, Balozi wa Tanzania nchini Marekani. Mhe. Liberata Mulamula na uhujmbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini wakiwa katika picha ya pamoja na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA.

IMG_1899

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akimsikiliza Mr. Paul Hinks wa Symbion Power ambaye ni mmiliki wa kampuni hiyo alipofanya mazungumzo nae siku ya Jumanne June 10, 2014 kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.

IMG_1900

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo, Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini wakifuatilia mazungumzo na Mr. Paul Hinks CEO wa kampuni ya Symbion Power.

IMG_1903

Mr. Paul Hinks CEO wa kampuni ya Symbion Power. akimsiliza Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sosspeter Muhongo.

IMG_1904

Mazungumzo yakiendelea.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles