Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Kongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania yafana

$
0
0

Kongamano la wanawake Wajasiriamali Tanzania lilofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden Hotel lilifana , mada mbalimbali ziliwasilishwa katika kongamano hilo liliandaliwa na Tanzania Business Entreprenuers for Women(TBEW) wakiongozwa na Haika Lawere Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel.

Kampuni na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 30 vilishiriki maonyesho ya bidhaa na wajasiriamali zaidi ya 100 walishiriki katika semina zilizokuwa zinafanyika sambamba na maonyesho hayo.

IMG_3300278346817_resized

Washiriki wakionyesha baadhi ya bidhaa zao.

IMG_3327677659746_resized

Bi. Ashura Katunzi Kilewela wa TBS akiongelea umuhimu wa viwango katika bidaa za kitanzania.

IMG_3287007296269_resized

Paul Mashauri wa EASB akitoa mada katika kongamano hilo.

IMG_3336255406752_resized

Benedict Mwambela, Mkufunzi toka ILO akitoa mada.

IMG_3355376330635_resized

Washiriki wa kongamanno ambao walikuwa wakionyesha bidhaa zao.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles