Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Wauza magazeti wakumbwa na bomoa bomoa jijini Dar es Salaam

$
0
0

001

Wananchi wakimuangalia mgambo wa Manispaa ya Ilala wakati akichukua magazeti katika moja ya meza Posta mpya jijini Dar es Salaam Aprili 3, 2014 Mkoa wa Dar es Salaam upo katika operesheni kabambe ya kusafisha jiji hilo kwa kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara ndogo ndogo maeneo yasioruhusiwa wilaya zake zote za Ilala, Temeke na Kinondoni.

002

Mgambo wa Manispaa ya Ilala akiwa amebeba magazeti.

003

Mgambo wa Manispaa ya Ilala akiwa amebeba magazeti wakivunja moja ya toroli la Kampuni ya TSN katika operesheni safisha jiji maeneo ya Posta mpya Dar es Salaam. Operesheni hiyo inafanyika mkoa wa Dar es Salaam kwa kuzihusisha wilaya zake zote za Ilala, Temeke na Kinondoni.

004

Mgambo wakiondoa kibanda cha Kampuni ya Simu Tigo.

005

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi wakati wa oparesheni hiyo.

006

Eneo la Posta Mpya.

TUKIO LINGINE

0008

Wafanya biashara wa Sitendi ya Daladala Mwenge jijini Dar es Salaam wakiwa hawana lakufanya wakiangalia zoezi la bomoa bomoa likiendelea.

0009

 Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi wakati wa oparesheni hiyo.

00010

Mgambo akiondoa moja ya toroli eneo la Mwenge.

00011

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwa kwenye doria.

00012

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwazibiti wafanya biashara eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM).


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles