Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Sitta atembelea kamati mbalimbali za Bunge la katiba

$
0
0

1

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel  Sitta(katikati) akizungumza na wajumbe wa Kamati namba mbili(2) jana mjini Dodoma alipotembelea Kamati hiyo kujionea maendeleo katika uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya.  Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo,Shamsi  Vuai Nahodha na Mjumbe wa Bunge hilo ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Anne Makinda .

1a

2a

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta(kushoto) akizungumza na wajumbe wa Kamati namba tano(5) jana mjini Dodoma alipotembelea Kamati hiyo kujionea maendeleo katika uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya.  Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo ,Hamad Radhid Mohammed (katikati) na Makamu wake Assumpter Mshama(kulia).

3

Mwenyekiti wa Kamati namba 12 ya Bunge Maalum la Katiba, Paul Kimiti(katikati) akifafanua jambo kwa   Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel  Sitta(kulia) alipoitembelea Kamati hiyo jana mjini Dodoma kujionea kazi inayoendelea ya uchambuzi wa  sura ya kwanza na Sita katika  Rasimu ya Katiba    mpya. Kushoto ni  Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Thuwayba Kissasi.

4

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel  Sitta(katikati) akizungumza na wajumbe wa Kamati namba kumi na mbili(12) jana mjini Dodoma alipotembelea Kamati hiyo kujionea maendeleo katika uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya.Wengine ni  Mwenyekiti wa Kamati hiyo Paul Kimiti (katikati) na mwingine ni mwingine ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Thuwayba Kissasi (KUSHOTO).

5

Makamu Mwenyekiti  wa Kamati  namba 12 ya Bunge Maalum la Katiba, Thuwayba Kissasi(kushoto) akifafanua jambo kwa   Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel  Sitta(kulia) alipoitembelea Kamati hiyo jana mjini Dodoma kujionea kazi inayoendelea ya uchambuzi wa  sura ya kwanza na Sita katika Rasimu ya Katiba    mpya. Mwingine ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Paul Kimiti(katikati).
6
Mjumbe wa Kamati namba kumi na mbili ya Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akichangia jana mjini Dodoma wakati wa ziara ya  Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel  Sitta alipoitembelea Kamati hiyo  kujionea kazi inayoendelea ya uchambuzi wa  sura ya kwanza na Sita katika  Rasimu ya Katiba mpya.(PICHA NA KAMATI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA(BMK).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles