Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania...
Afisa Uhusiano wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Jane Matinde, (kulia) akimpongeza mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu PhilemonNathaniel Mgaya aliyejishindia shilingi milioni tano (5m/-)...
View ArticleKongamano la 9 la CTO la Mabadiliko ya Mfumo wa Utangazaji wa Analojia kwenda...
Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbie Gunze (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Februari 10, 2014 juu ya Kongamano la 9 la CTO la...
View ArticleWorld’s 1st Clitoral Repair Hospital for FGM Victims to Open in West Africa...
Chantal Compaore, First Lady of Burkina Faso, will preside at the ceremony. The world’s first clitoral repair hospital for victims of female genital mutilation (FGM), located in Bobo-Dioulasso, Burkina...
View ArticleNape: CCM Bado ni Kipenzi cha Watanzania wengi
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA DAR ES SALAAM, Tanzania CHAMA Cha Mapinduzi (CCM),...
View ArticleMafoto Production & Entertinment
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc’s KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. KAZI NYINGINEZO:- VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK...
View ArticleProviding Access to Energy for 100 million Africans / Ministers from Africa...
Energy poverty is one of the biggest challenges for sustainable development in Africa. While the continent’s energy needs are growing substantially, the available resources are more than sufficient...
View ArticleFullshangwe Blog yapata Kwikwi, kurudi hewani punde
WADAU WA FULLSHANGWEBLOG TUMEPATA TATIZO LA KWIKWI JANA HIVYO TUNALIFANYIA KAZI KADIRI INAVYOWEZEKANA ILI TUWEZE KURUDI HEWANI TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI...
View ArticleUganda: Museveni must oppose the Anti Homosexuality Bill
As organisations in Uganda mark a Global Day of Action against the “Anti Homosexuality Bill”, FIDH expresses its strong support to all organisations defending the rights of LGBTI persons and calls on...
View ArticleLake Gas Indian Food Festival – Tanzania
Food is an integral part of the Indian culture and Indian subcontinent, including Pakistan and Bangladesh. Thanks to the multitude of its flavors and aroma, its popularity is quickly increasing, and...
View ArticleWaziri wa Habari afungua kongamano la 9 la CTO la mabadiliko ya mfumo wa...
Waziri wa Habari, vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangara akifuatilia hotuba mbalimbali katika ufunguzi wa Kongamano la 9 la uhamaji wa mfumo wa utangazaji kutoka analojia kwenda dijitali...
View ArticleKizito ashinda Milioni 10 za ‘Championi Mahela’ akiwa kwenye Daladala
MC Chaku (kushoto) akiwa na mmoja ya wakazi wa Mbagala tayari kwa kuchagua mshindi wa Championi Shinda Mahela. …Kuponi za Championi Shinda Mahela zikiwa tayari kwa ajili ya droo. Msimamizi wa Bodi ya...
View ArticleKamati Kuu yateua mgombea wa CCM Kalenga
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika...
View ArticleTahadhari ya Hali ya Hewa mbaya kuanzia leo hadi Alhamis
Ta Had Hari 10022014 by zainul_mzige21
View ArticleTaasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) na Tasisi ya Viwango Tanzania (TBS)...
Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne...
View ArticleAfrica urged to prioritize agricultural transformation
The special meeting of the Permanent Secretaries of Ministries of Agriculture and Local Government and Development Working Group Leaders on the Comprehensive Africa Agriculture Development Programme...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal afungua Kongamano la Tafakuri Maridhiano kuelekea...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika...
View ArticleWatumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakutana Uwanja...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na watumishi wa Wizara hiyo wakati wa kikao kazi jana jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa...
View ArticleKituo cha Uwekezaji chawapongeza Wakuu wa Mikoa katika jitihada zao za...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji amewapongeza Wakuu wa Mikoa wa Kanda ya Ziwa katika juhudi zao za kuhakikisha Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa linafanyika. Mikoa ambayo itashiriki...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal awasili Jijini Mwanza jioni ya leo, kufungua...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal akishuka kwenye ndege wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza jioni ya leo,tayari kwa ufunguzi Kongamano la...
View ArticleZanzibar Mwenyeji wa Mkutano wa Nne wa Bodi ya Ufundi ya nchi za Afrika...
Afisa Mkuu wa Viwango Jumuiya ya Afrika Mashariki Willy Musinguzi akielezea changamoto wanazokabiliana nazo juu uzibiti wa bizaa zisizo na viwango katika Mkutano wa bodi ya ufundi ya nchi za Africa...
View Article