Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF watoa semina kwa askari na watumishi raia makao makuu ya Wizara ya Mambo...

Afisa Matekelezo Mwandamizi(SCO) wa mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Matilda A. Nyallu  akitoa elimu ya Mpango wa Uchangiaji wa Hiari kwa Askari na watumishi raia makao makuu ya Wizara ya mambo ya ndani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE aitaka tume kujibu hoja kwa wakati

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva akisalimia na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye mkutano wa pamoja na viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Coastal Aviation mpango mzima na Sauti za Busara 2015

  Na Andrew Chale “ALL THE ALL FOR THE SOUNDS OF WISDOM!” Coastal Aviation We have arranged MORE THAN 20 FLIGHTS A DAY throughout the weekend to support the festival and allow everybody to enjoy this...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya kidato cha nne yatangazwa, Sekondari ya Kaizirege yaongoza..List...

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini,Dk. Charles Msonde. Ufaulu Kidato cha Nne 2014 wapanda kwa asilimia 10 Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sera mpya ya elimu Tanzania

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Bilal ahudhuria misa maalum ya kumuombea marehemu Evodius Walingozi...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Askofu Eusebius Nzigilwa, wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

New World Bank Group Push to Revive Agriculture, Avert Hunger for over One...

Makhtar Diop, World Bank Vice President for Africa. Record 10,500 tons of seed to be delivered for April planting season In a concerted push to revive agriculture and avert hunger in Ebola-hit...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura

Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya New Arusha jijini humo. Viongozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF yaanza rasmi usajili wa vijana Sports academy

Baadhi ya wazazi wakiwasimamia watoto wao katika zoezi la kujaza fomu kwa ajili ya kujiunga na kituo kipya cha michezo cha NSSF-Real Madrid Academy. SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi sensa ya viwanda yakamilika, Serikali yawataka wadau kutoa...

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa  akifunga rasmi mafunzo ya siku 14 ya wasimamizi na wadadisi wa Sensa ya viwanda 2013 itakayofanyika nchini nzima kuanzia Februari 23,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu apongezwa kwa kusimamia maabara

Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Sengerema, Bw. Hassan Moshi, akiwa nje ya jengo la maabara la shule ya sekondari ya sekondari Iligamba iliyoko kata ya Bupandwa wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yaipongeza China kwa misaada ya kimaendeleo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatafa Bernard Membe akitoa hotuba  kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya  Kikwete ambaye alikuwa  Mgeni Rasmi katika sherehe  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dioniz Malinzi asimikwa ukamanda wa vijana mkoa wa Kagera

 Boda Boda  wakiongoza msafara wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kuelekea katika Uwanja wa Mayunga Uhuru Platform tayari kwa kumsimika Kamanda wa Vijana mkoa wa Kagera Dioniz Malinzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal, akabidhi Tunzo ya Rais ya Mzalishaji Bora mwaka 2014

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia maonesho mbalimbali kwenye hafla ya  utoaji Tunzo ya Rais ya mzalishaji bora Mwaka 2014 wakati wa chakula...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa

Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi mkuu mstaafu wa NHIF Bw. Emmanuel Humba aagwa rasmi

Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua mchango wake akiwa mwanzilishi wa mfuko huo wakati wa hafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Bloggers Network wamfariji Mzee Kitime kwa kufiwa

Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamuziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda kufungua mkutano wa kikanda juu ya ukuaji na...

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda (Mb). Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) imeandaa  mkutano  wa kikanda  utakaokutanisha viongozi na watunga sera  kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Tigo yatoa msaada Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Bw. David Charles (mwenye miwani kichwani) akiongoza  wafanyakazi  wenzake wa Kampuni  ya Tigo kutoa msaada kwa wagonjwa wa Hospitali ya Tengeru kwenye siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akagua dawati la bei nafuu na imara

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua dawati  lenye ubora uliothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania lililouiniwa na kutengenezwa na Kampuni ya EDOSAMA HARDWARE ya jijini Dar es salaam, ofisini...

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live