Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua semina ya wanasheria wa serikali wa Afrika ya Mashariki

Waziri Mkuu, mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), Vivianne Yeda (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL yamburuza Zitto kortini

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Na Mwandishi wetu KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Septemba 9, 2014, amekagua huduma na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Jakaya Kikwete apokea hati za utambulisho za Balozi wa Rwanda na Norway...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari aina ya Toyota Verossa inauzwa

Gari inauzwa kwa bei nzuri tu na ipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia mawasiliano hapo chini SPECIFICATIONS ZA GARI HIYO NI MAKER: TOYOTA MODEL: VEROSSA YoM:      2001 CC:       1980 Odo:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makubaliano ya JK na ukawa ni haya hapa

Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo. .katiba ya zamani kufanyiwa marekebisho .Ni kuruhusu tume huru na mgombea binafsi .Ni makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa Na Lukwangule Blog KATIBA inayotumika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF yakamata watu wanaotumia kadi za Bima ya Afya kinyume na utaratibu...

Bw. Julius Mziray mkaguzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es salaam. Baada ya kumkamata mtu mmoja anayetuhumiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora...

Na Mwandishi wetu BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge Maalum la Katiba laendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba

Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiingia ndani ya Bunge hilo leo 10 Septemba, 2014 kwa ajili ya kuendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba. Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma. BUNGE Maalum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida...

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za...

Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Launch of certified apprenticeship program in hotel operation

Representatives from ILO, TUCTA, ATE and HAT in a group photo with the apprentices during the launch of the programme held in Dar es Salaam on 5TH AUGUST 2014. The launch was coupled with the signing...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkoa wa Dodoma kuzindua mradi wa kukabiliana na upungufu wa dawa katika...

Na Mwandishi wa MAELEZO, Dodoma Mkoa wa Dodoma unatarajia kuzindua  Mradi wa Kuboresha na kuimarisha mfumo wa uuzaji na usambazaji wa dawa katika wilaya zote. Hatua hiyo inalenga  kuboresha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi akutana na Rais Jakaya Kikwete...

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (kulia) akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali. Rais Jakaya Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni. Na Mwandishi wetu KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii Kassim Mganga, Aunty Ezekiel na AJ Ubao kunogesha tamasha la utalii...

Msanii wa Bongo Movie Aunty Ezekiel kunogesha tamasha la utalii siku ya Jumamosi Sept 13, 2014. Msanii wa Bongo flava Kassim mganga nae kuwepo. AJ Ubao. Vijimambo Blog kwa ushirikiano wa pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malinzi azindua Rock City Marathon 2014

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF ) Bw. Jumanne Mbepo, ambao ndo wadhamini wakuu wa mbio za Rock City Marathon 2014, akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usimamizi wa maadili Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar waongeza ufaulu

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho miaka 50 ya chuo hicho yanayoendelea jijini Dar es salaam. Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete hawezi kutamka Bunge liharishwe

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania(TCD)Mhe. John Cheyo.(Picha na Maktaba). Na Magreth Kinabo, Dodoma Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sekta za madini, umeme na kilimo zakuza pato la taifa

Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Bw. Morrice Oyuke (katikati) akizungumza  na waandishi wa habari kuhusu ukuaji wa Pato la Taifa kwa bei ya Soko leo jijini Dar es salaam....

View Article
Browsing all 5755 articles
Browse latest View live


Latest Images