Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala watembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango

$
0
0

SONY DSC

Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango akizungumza wakati wa Ziara hiyo.

SONY DSC

Wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala walipotembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango kukagua utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu.

SONY DSC

Manaibu Katibu Watendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakifuatilia kwa makini michango iliyokuwa ikitolewa na wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala.

SONY DSC

Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Mhe. William Mganga Ngeleja akizungumza na watendaji na menejimenti ya Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakati Kamati yake walipotembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango kukagua utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu.(Picha na Thomas Nyindo, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango)


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles