Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Tanga-Singida watimka na Bodaboda za Vodacom

$
0
0

001

Meneja wa Vodacom Tanzania-Tanga Bw. Mussa Sultan(kushoto)akimkabidhi Pikipiki Agnes Kilango ambaye ni mmoja wa washindi wa mkoa huo katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.

002

Mshindi wa Pikipiki wa Mkoa wa Singida katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Juma Abdallah,akiwa kwenye pikipiki yake mara baada ya kukabiodhiwa rasmi na Meneja wa Vodacom Tanzania-mkoani humo Bw.Ayubu Kalufya(hayupo pichani)kwa kuibuka mshindi pekee katika promosheni hiyo.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.

003

Meneja wa Vodacom Tanzania-Singida Bw. Ayubu Kalufya(kushoto)akimkabidhi Pikipiki Juma Ajali Abdallah ambaye ni mmoja wa washindi wa Mkoa wa Singida katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,inayoendeshwa na  kampuni ya mawasiliano  ya Vodacom ili kujiunga na promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles