Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Naomi Campbell, Bono, Jacob Zuma na wake za Mandela Winnie na Graca watoa heshima za mwisho kwa Nelson Mandela

$
0
0

article-2521757-1A052BE200000578-192_964x573

Gari maalum lililobeba mwili wa Marehemu Mzee Nelson Mandela likitokea Hospitalini na msafara kuelekea sehemu maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya watu maarufu kutoa heshima za mwisho.

article-2521757-1A052DEA00000578-255_964x966

article-2521757-1A053F1500000578-245_964x504

Raia wa Afrika Kusini wakiwa wamejipanga kando kando ya barabara kutoa heshima zao za mwisho kwa Mzee Nelson Mandela.

article-2521757-1A0566FA00000578-998_964x353

article-2521757-1A0541DA00000578-598_964x461

article-2521757-1A056ECD00000578-975_964x619

Mwili wa Mzee Nelson Mandela ukiwasili kwenye jengo lililopo mji mkuu wa nchi hiyo Pretoria, ambapo utalala kwa siku tatu kuruhusu Raia wote wa Afrika Kusini na Dunia kwa ujumla kutoa heshima zao za mwisho.

article-2521757-1A056EB600000578-301_964x691

article-2521757-1A05436B00000578-868_964x568

article-2521757-1A06339300000578-927_964x622

Mwanamindo wa Kimataifa Naomi Campbell alishindwa kuzuia hisia zake baada ya kuona jeneza la Mzee Nelson Mandela likiwasili kwenye viwanja hivyo tayari kwa kutoa heshima za mwisho.

article-2521757-1A064CA200000578-759_964x536

Naomi Campbell akionekana kutoa amini kwa kile alichokiona.

article-2521757-1A062AA200000578-705_964x812

Mzee Nelson Mandela enzi za uhai wake alikuwa akimpenda Mwanadada huyu na kumuona kama mjukuuu wake.

article-2521757-1A06419200000578-890_964x492

Bono akitoka kutoa heshima zake za mwisho kwa mzee Nelson Mandela huku akiwa maembatana na Mkewe Ali Hewson (left) pmoja na aliyekuwa msaidizi wa Mzee Mandela Zelda le Grange.

article-2521757-1A0639BA00000578-991_964x721

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma akiwa ameongozana na wajane wa Mzee Nelson Mandela kwenda kutoa heshima za mwisho kwenye sehemu maalum iliyoandaliwa.

article-2521757-1A06092C00000578-176_964x833

Mke wa kwanza wa Mzee Nelson Mandela akionekana na majonzi mazito akielekea kutoa heshima za mwisho kwa mumewe wa zamani.

article-2521757-1A06380200000578-720_964x646

Rais Jacob Zuma na mkewe wakitoa heshima za mwisho.

article-2521757-1A0683E800000578-793_964x547

Gaazeti la Daily Mail kwenye picha hii ya Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe wamemuita “Dikteta” kutokana na uchu wake wa madaraka hadi leo.

article-2521757-1A0533E900000578-113_964x567

Raia wa Afrika Kusini wakiwa wamejipanga kando kando ya Barabara kwa ajili ya kutoa heshima zao huku wakiimba na kusifu juhudi za Mzee Nelson Mandela kupigania Uhuru wa nchi yao.

Pictures credit to Daily Mail UK


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles