Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete washiriki Mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT marehemu Dkt. Moses Kulola

$
0
0

0L7C0192

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho na kuweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Muasisi na askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa huko Bugando Mwanza leo.

0L7C0335

0L7C0518

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Bibi.Elizabeth Kulola mjane wa Marehemu Askofu Dkt.Moses Kulola, aliyekuwa muasisi na Askofu Mkuu wa Kanisa laEAG(T) wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa huko Bugando Mwanza leo. P(icha na mdau Freddy Maro wa Ikulu).

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles